Mganga?
Kwenye masuala yasiyo serious Mganga asijigange tu
Ila kwa masuala yenye maslahi kwa taifa, Tubadilisheni kanuni hizi ni misemo ya kale
KATIBA MPYA?
"Hapana, Hilo ni wazo la Upinzani!"
Chadema wapi imetajwa kwenye mada?
Habari za Lowassa ni za mwaka gani?
Au umezoea kuzungumzia tu mabaki ya chakula cha jana tumboni hadi unasahau leo nini utakula?
ACHENI MAIGIZO!
Enzi za zidumu fikra za mwenyekiti zilikuwa njema sana
JAPO KWA SASA HAZINA MASHIKO
Enzi za kudhani kiongozi ni alien na sio human being anayeweza kukosea
ZILISHATUMBULIWA KITAMBO
Kadri unavyotaka watu wakupigie makofi ndivyo wanavyozidi KUHAKIKI sababu ya makofi
Mabadiliko yakianzia kwenye...
Anatumbua pesa za .... na familia yake
Vipi kwani ulikuwa na gawio lako pale?
Ogopa sana mtu akilewa madaraka
Muulize Faru nani sijui yule
Alikuwa dume peke yake
Akafa mapema kutokana na kuoverDo!
Ntakutukana sio muda
HICHO NDICHO TULICHOWATUMA?
Huu ni utapeli
Sorry mkuu kama imekuwa personal
But it is so shameful.
Watu wanawapa kura mjenge strategy za nchi
Nyie mnajenga za Chama
Mods Matusi Yaruhusiwe?
Unamaanisha CCM ni chama mama kwa sababu kinaweza kutengeneza upepo huo wa kuwabeba wapinzani?
Kweli mwizi hana sababu
Ni msemo Tu
Nyie Watu hamtaki kukosolewa wakati nyie wenyewe ni master wa kukosoa vitu visivyo na tija hata kwa taifa. Sasa upinzani wao ni ChamaDola ?
Usiukosoe upinzani...
Kokorikooooooooooooo!!!
Hapa sijasema kitu!!!
Asanteni kwa kuja!
Kuna Mambo Mengine Utahira unahitajika ili kuyasolve
Mleta mada ni taahira
Na kwa utaahira huu ......
Hivi Milembe ipo Dodoma?
Nipo na wanakijiji hapa tumesubscribe thread na tunasubiri majibu!
Pliz yasichelewe sana...
Mkuu hongera kwa kujaribu kuweka illusion zako hapo
Lakini Je, Una ushahidi sahili wa mtu aliyepona ukimwi? (USHAHIDI SAHILI!!)
Je kuna nabii Tanzania anaweza kushusha mana watu wa Dodoma kwenye ukame wakala
Unaweza kuihusisha kanuni ya dini za sasa na maendeleo yetu? (mfano kutoa mimba?)...
"Mchoyo hana Rafiki"
Mwalimu wangu wa vidudu na methali zake
Hazipo applicable sana, Japo this time around zinafanya wonders!
Ukizoea kufukuza, Subiri kufukuzwa!
Maana hata upepo humfukuza mfukuzaji nyuma ya mgongo wake!
Hakuna Madhara kama wapandishaji wanakijua wanachokifanya!
Otherwise, Hesabu hazidanganyi
Kama Mwenye nyumba anakarabati nyumba kabla ya kupandisha kodi, Nani atalaumu? Kuna Madhara?
Kinyume cha hapo, HAKUNA MUUJIZA!
Tuendelee kutumbuana hata siku zisizo za kazi
Labda ndo kazi yetu!
1. Upo Kenya!
2. Ulikuwa maarufu zamani
3. Kwa sababu upo kaskazini ......
Wengine ongezeeni!
But Mlima huu ni hadhina kubwa na ya thamani. hauhitaji mitaji mikubwa sana ili kuleta faida
Kama "jamaa yule" anapenda biashara kiasi kile, FURSA HII
Tatizo upo Kaskazini!
Sijui Tuuhamishie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.