Mimi ni mpinzani mkubwa wa ukabila na udini.
Lakini nalazimika kuhoji kuhusu ukabila wa watu wawili nchi hii ambao ni chanzo cha utekaji, ung'oaji kucha ma meno na udhalilishaji kwa demokrasia na haki za raia.
Hawa ni pamoja na Mwigulu Nchemba na Ramadhani Ighondu.
Sijui hawa watu kwa nini...
Amani iwe nanyi wanajamvi!
Nimelazimika kuja na hoja yenye lengo la kuwasaidia wale wote wanaoona wanachama wa CHADEMA wakiwa kimya licha ya kusikia na kushuhudia maneno, vurugu, rafu na propaganda kadhaa zenye lengo la kukidhoofisha chama hicho.
Nipende kuwajuza wote wenye kutekeleza jukumu...
Waheshimiwa nimelazimika kufungua kesi ya katiba ambamo ninataka kuiomba mahakama kutoa fasiri kamili kuhusu sheria ya uchaguzi na matumizi ya Fomu namba 17.
Fomu hii kwa mujibu wa Election regulation 2010 ambayo imetamkwa katika kifungu cha 74 ina lengo la kumsaidia mpiga kura ambaye...
Waheshimiwa nimelazimika kufungua kesi ya katiba ambamo ninataka kuiomba mahakama kutoa fasiri kamili kuhusu sheria ya uchaguzi na matumizi ya Fomu namba 17.
Fomu hii kwa mujibu wa Election regulation 2010 ambayo imetamkwa katika kifungu cha 74 ina lengo la kumsaidia mpiga kura ambaye...
Katibu Mwenezi wa CHADEMA wilaya wa Handeni mkoani Tanga Ndugu Omari Gomangilo ametishiwa kuuawa na Mhe. Diwani wa kata ya Komkonga (CCM) Mhe. Ramadhani Kisatu baada ya Mwenezi huyo kutoa mchango wake katika mkutano kwamba haoni sababu ya wananchi kuchangishwa kwa ajili ya huduma za hosipitali...
Wakuu heshima kwenu.
Ninalazimika kuhoji kwa sauti kubwa UJAMAA wa CCM uko wapi? Hoji yangu hii imetokana na ukweli kwamba CCM wanajitambulisha kama chama cha kisiasa cha kijamaa. Lakini wakati huo huo kinatekeleza siasa za kibepari ambazo zimewafanya wanyonge wengi wakibaki masikini wa...
Wakuu nimeaona vema kuleta hoja hapa jukwaani kuilalamikia kampuni ya simu za mkononi kwamba inaumiza sana wateja wake kwa bei za hudama zake.
Bei yao ya kupiga simu kwa sasa ndo inayoongoza nchini,
Ukimhamishia mtu salio wanakukata bila huruma.
Ukipiga simu na kumkosa unayempigia halafu...
Wakuu heshima kwenu.
Nimelazimika kuja na hoja ya kuitaka serikali ichukue hatua za kukusudia kuwasaidia wafanyakazi wanaotoka maofisini jioni ili wafike majumbani kwa kwa wakati. Hebu fikiria mtu anatoka Posta saa 12 jioni na kwa vyovyote atafika Kiluvya saa 4 usiku ama saa 5 on busiest days...
JItihada za Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Raymond Mushi kuhakikisha muafaka unaoipendelea serekali na CCM unatetewa kwa bidii zote zimewafikisha madiwani 5 wa CHADEMA kupoteza kadi zao za uanachama.
Kwa hakika habari hii ni chungu sana kwa mtu anayejali safari ya kijasiri ya kisiasa katika...
Wajameni nimelazimika kuingia jukwaani jioni hii na kuleta msimamo wangu kwa mujibu wa mambo yanavyoendelea siku kwa siku ili yatakapotokea makubwa zaidi ifahamike wazi nani kichocheo kikuu cha matatizo yote ya Arusha.
Mheshimiwa WM Pinda December mwaka jana aliiahidi CHADEMA kwamba ifikapo...
Haijawahi tokea Central kukawa na ulinzi kama huu.
Kituo kikuu kimezingirwa na askari wa kutuliza ghasia wengi sana ambao wote wamejitanda vizuri sare za kivita na bunduki mikononi mwao. Hakuna ruhusa ya mtu yoyote kuingia ndani ya kituo.
Viongozi wa CHADEMA wamehoji kuhusu namna Mbowe...
Wahenga walisema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.
Jana jioni watu wasiofahamika lakini wanaoonyesha kuwa walijipanga vizuri kipropaganda walitengeneza na kusambaza habari kwamba Dr. Slaa ameanguka bafuni akiwa jijini Arusha na kufariki dunia.
Nikiwa natafuta ukweli au uongo wa habari...
Wakuu
Amani iwe kwenu.
Nimelazimika kuandika ukweli huu kwamba huko duniani ( katika nchi nyinginezo) wana marais ambao wananchi wao wakikumbwa na dhahama wanawajulia hali na kuwafikia mara moja. Wenzetu hao wana marais ambao maofisa wa serikali wakiboronga wanawajibishwa mara moja. Wenzetu...
..Taarifa za uhakika tulizo nazo ni kwamba kuna mkakati maalum wa kumbambikizia kesi ya madawa ya kulevya Mhe. Godbless Lema mbunge wa jimbo la Arusha Mjini.
Katika mkakati huo watu wasiojulikana watamwingiza mke wa Mhe. Lema katika biashara bila kujijua na hatimaye kumfikisha...
ZIkiwa zimebaki siku 2 uchaguzi mkuu ufanyike kikosi cha wandishi wa habari waandamizi wakiongozwa na wakongwe kutokea DSM wamepelekwa mjini Moshi kwa lengo la kutengeneza habari za kumchafua Ndesamburo kwa siku 2 zilizobakia.
Kikosi hicho tayari kimeshatengeza na kupeleka makala na habari...
ZIkiwa zimebaki siku 2 uchaguzi mkuu ufanyike kikosi cha wandishi wa habari waandamizi wakiongozwa na wakongwe kutokea DSM wamepelekwa mjini Moshi kwa lengo la kutengeneza habari za kumchafua Ndesamburo kwa siku 2 zilizobakia.
Kikosi hicho tayari kimeshatengeza na kupeleka makala na habari...
Wakuu habari za jioni
NInawaletea habari zilizotua kwenye meza yangu kutoka kwenye source ya ndani kabisa ya CCM anayehusishwa mipango muhimu lakini asiyependa kutekelezwa kwa hila hizo za Chama Cha Mafisadi.
CCM wameorodhesha mikoa ambayo hawawezi kushinda na tayari wamekwishapeleka vijana wa...
Waheshimiwa nina furaha kubwa moyoni baada ya kuleta hapa jamvini maelezo ya vifaa vya kusaidia katika kuwaandaa kikamilifu mawakala ili waweze kulinda kura kwa umakini.
Mtakumbuka kuwa niliomba msaada wa kuingiza video hiyo humu jamvini baada ya kuiconvert kuwa VCD. Tayari CHADEMA wamebadili...
Kwa wale wanaoujua mji wa Moshi wataweza kufuatilia kirahisi sana namna ambavyo uamuzi huu uluvyofanyika bila kufuata ukweli wa kisheria wala kimazingira.
Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi Mgombea Mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya CCM Dr. Ghalib Bilal alikuwa awe mjini Moshi kesho tr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.