Katika watu waongo duniani ni wenyeji wa mikoa ya Rukwa na Katavi, kaa nao mbali. Kamwe hawawezi thibitisha chochote katika hadithi zao nyingi kama hizi. Pia kuwa nao makini, 99.9% ni wachawi. Nawajua bro, nimehustle mikoa hiyo zaidi ya miaka 25.
Jibu hoja, acha povu. Tunataka kujua majina yake halisi si vinginevyo. Hayo yote unayosema hakuna asiye yajua lakini bahati mbaya hayahusiki katika uzi huu.
Jamani hatuna viongozi kabisa. Wao wanalipana posho kutokana na jasho letu lakini hawako tayari kuwajibika. Tazama, haki zetu watumishi zimegeuka agenda za kisiasa, hatuheshimiwi na wametujengea taswira mbaya sana kwa jamii tunayoihudumia. Sasa kwa waadilifu inaonekana ni laana kuwa mtumishi wa...
Kazi nzuri sana, hongera mtoa mada. Nasikitika sana GTs mmeniangusha sana, hata wale nnao wakubali leo ghafla mmekuwa wa kukurupuka kama kina fulani. Hivi ndugu zangu GTs mmepatwa na nini!?
Kweli ninyi hamna maana kabisa! Yaani unadhani Wa-TZ ni wajinga kiasi hicho! Kwani wewe ni nani hata uwaamulie hatima ya maisha yao na watoto zao? Tafadhalini sana, heshimuni maamuzi ya sie Wapumbafu na Malofa, msijidanganye hata kidogo kuwa mambo yakiharibika mtasalimika. Tunajuana vyema, ni...
Mkuu Rutta,
Hongera sana, kazi ulotumwa na mmeo unaifanya kikamilifu lakini nasikitika kwamba pamoja na michango ya kina unayopatiwa na wachangiaji wenye nia njema na TZ yetu umekuwa mgumu kuelewa na kung'ang'ania ajenda ya huyo mmeo.
Tambua kuwa ipo siku mtayalipa yote haya mnayowafanyia...
Ulianza kuchangia vyema mpaka nikahisi una kaupeo lakini hapo juu umenifanya niyaone dhahiri matokeo na madhara ya kukaririshwa, pole sana. Kwa taarifa, waislam wengi ndo walikuwa wateja wa Babu na wengi wao wakitokea hapa nyumbani, Kenya na Uganda.
Hiyo haikuhusu wala si sababu ya kumzuia Yamsebo kuwa Mwakilshi wa wananchi. Huyo Mwl Yamsebo si kama unavyomfikiria wewe,anapendwa sana na wananchi na ni jembe si utani haijalishi umri wake. Uliza kwa hekima upewe CV yake. MAGAMBA MKUBWA WEE!
Hata mie nilishajaribu na ndio tegemeo langu siku zote dawa hii. Tena kwa hupoma haraka peleka matone mengi uwezavyo hata ukimeza inaruhusiwa tu ni nzuri kwa kifua kinachosumbua kubanja. Inalainisha na kufanya makohozi mazito yatoke bila tabu. Wasiliana na Mama Victoria Seme (Mkuu wa shule wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.