Jamani haiwezekni nchimoja ichukue maji yote halafu wananchi wa nchi jirani wasipatemaji hivyo wakitaka maji waende kununua njeyanchi haiwezekeni hata ukimuuliza mtoto mdogo nilazima maji tugwane katikati w0te tunywemaji kwani wamewekwa na m/mungu hayakuwekwa na wamalawi unanisoma mtoa mada?.
Chama cha democrasia na maendeleo kimekua na nguvu kubwa kuanzia 2010 mpaka hivi sasa lakini ghafla kimeanza kupoteza mwelekeo baada ya kuanza mitafaruku ya hapa na pale ndani ya chama na kusababisha makundi mapema kabisa kabla hata hakijaingia ikulu baada ya viongozi wa chama kufukuza baadhi ya...
Jamani wana JF habari za mda huu,
Naskitika sana kuona mmoja wawaasisi wa taifa hili la Tanzania MOHAMMED IQBAL DAR kasahaulika kabisa katika vitabu vya historia ya TANZANIA kwani vinasema kua neno 'tanzania' limetokana na kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar tu bila kutaja ninani aliyebuni jina...
Assalaam a'laikum ,Jamani waislaam wenzangu wote tutulie hatakamaa tunachokozwa tuwaachie Allah {SWT}hakika yeye ndomwenyekuhukum kwani hawa makafiri chokochoko nauchokozi hawajauanza leo kwani hata enzi za nabiiMuhammad {S.A.W}Mpaka kumfukuza Makka na kwenda Madina na pia tujaribu kuwavumilia...
Acha kabisa uchochezi.Kumbuka ukimchokoza mtu ina maana unamtaka ajibu na kumchokoza mtu sio mpaka uende mwenyewe waweza kumtuma mtu na sio lazima umtume mtumzima welaweza pia kumtuma hata mtoto alioanza mwezi huu kutembea.Kuhusu serikali:hivi wewe,una loo yanamnagani kuilaum serikali?hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.