Search results

  1. N

    ada za udsm postgraduate na masters zapaa juu maradufu!

    kiswahili ndio kigumu zaidi, MASTERS ni SHAHADA ya pili wakati POSTGRADUATE ni STASHAHADA YA UZAMILI.
  2. N

    Msaada kuhusu postgraduate diploma.

    wandugu naombeni kujuzwa kwa aliewah kusoma au anajua kuhusu POSTGRADUATE DIPLOMA IN EDUCATION pale udsm huwa inatolewa online au ni kawaida? Na malipo yake yakoje?
  3. N

    Mkopo postgraduate ya education

    Wandugu naombeni mnijuze juu ya hili kwa mtu anaejua, mm nina first degree ambayo sio education lkn nna mpango wa kusoma postgraduate ya education je naweza pata mkopo kutoka bodi ya mikopo? NB first degree nlilipiwa na bodi 100%.
  4. N

    Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa Nduli, Iringa kwenye msiba wa Diwani Chonanga

    ama kweli mwisho wa roho mbaya ni aibu! Huyu jamaa na watoto zake ndo walitaka kumuua mbunge msigwa kwa mapanga na mahakama ikawakingia kifua lkn mwnyz mungu mtenda haki kaonyesha kuw wao ndo wanatakiwa wafe kabla ya msigwa. kifupi nngefurahi zaidi wangekufa na hao watoto.
  5. N

    Wapi PSPF; LAPF?

    mkuu hyo ishu kila mtu anashangaa wala hauko peke yako, ongeza imani utakuja ona miujiza.
  6. N

    Shemeji, ndugu yako anataka kunigeuza!

    Bonge la idea, tunawahtaj sana watu kama nyie humu jf, mimi namshauri mtoa mada alichukue hili.
  7. N

    Shemeji, ndugu yako anataka kunigeuza!

    du!!!!!!!!!!!!!!!!
  8. N

    Kweli yamenikuta mwenzenu

    kweli ww dd ni wa ajabu, kutendwa atendwe mwingine then ww uje na mi-BP yako JF, pilipili ambayo hujaila inakuwashaje ww? otherwise 2weke waz zaidi about the issue na ufafanue uhusiano uliopo kati ya hizo herufi na tabia wanazozifanya.
  9. N

    Naombeni ushauri kuhusu huyu binti.

    kaka hiki kibint kitakuburuza mithiri ya tambala la deki coz kishakusoma vzur kuwa ww ni *****, shetan alokudanganya kuwa kibint hicho kimeumbwa kwa ajili yako ww kakupoteza,kifup huduma zlivyopungua ndo kameamua kukutafuta, kama husikii endelea kukifuatilia.
  10. N

    Kwanini ukose uaminifu kwa mpenzi wako?

    Punguza jaziba mwana JF mwenzetu, mm nadhani kaa chini na huyo umpendae na umuulize ni vitu gani vinafurahisha sana nafsi yake ukimfanyia, ujue mwingine unaweza kumletea mizawadi ya gharama ukiamini atafurahi sana kumbe yy anapendelea kutoka na ww kwenda mazingira tofauti. kk kuwa mwanaume sio...
  11. N

    Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

    Inawezekana msichana uliyeachana nae mara ya 1 ulimpenda kiukwel na ulikuwa na malengo ya ukwel juu yake lakini yeye akakusaliti na kukuumiza sana moyo wako ,hilo ndio tatizo lililosababisha uone wote ni walewale na ni bora kuwabutua na kuweka pembeni kuliko kupenda tena. mm nakushauri tafuta...
  12. N

    Morogoro: Askari ajiua kwa uzembe wa uongozi wa jeshi la polisi

    inasemekana mshkaj alijinyonga mwenyewe, na cku moja kabla ya kifo chake alionekana akinywa pombe sana usiku na kuvua nguo zote mbele ya watu, askari wenzake walimsihi avae nguo na akafanya hivyo but saa 11-asub ndio akakutwa kajinyonga.
  13. N

    Je, wewe ni msichana wa umri kati ya 18-21 miaka......basi fungua ndani upate maelekezo zaidi.

    ina maana ww hujawah kuwa na mwanamke? mbona unatafuta mwanamke ambaye hajawah ku-do?
Back
Top Bottom