MAHAKAMA IMEANZA
SEHEMU YA 1.
Jaji naingia Mahakamani
Kesi namba 16/2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa
WS Robert Kidando anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza Kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin...
Jaji ameingia Mahakamani Muda huu
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani
Wakili wa Serikali Robert Kidando anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali
Jenitreza Kitali
Abdallah Chavula
Pius Hilla
Nassoro Katuga...
Polisi Goba, Dar, wajeruhi kwa kipigo, majeruhi yuko ICU, anapumlia mashine, madaktari wasema, kupona kwake utakuwa muujiza wa Mungu....
Jumatano, November 10, 2021, Polisi Goba walimkamata Issa Kassim (20), nyumbani kwao huko Goba kwa madai kwamba ameuziwa TV ya wizi, tukio ambalo mtuhumiwa...
====================
Jaji ameingia..
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire na Wenzie imetajwa
Jaji: Wakili wa Mshtakiwa wa kwanza
Mtobesya: Shahidi Unakumbuka Ushawahi Kuandika Maelezo Polisi
Shahidi: Nakumbuka
Mtobesya: Unakumbuka Uliyasoma Maelezo Yako na Ukahakikisha Kwamba ni...
PART 4
February 09, 2021 Sabaya na genge lake walienda Arusha kumvamia Ally Asaad Ajirin, anayemiliki duka la mapazia la Shaahidi Stores lililopo Barabara ya Nyamwezi jirani na Soko Kuu. Wakamwambia "tuna taarifa unafanya biashara ya kubadili pesa za kigeni kinyume cha sheria" Asaad akakataa...
PART 3
Mmoja wa vijana hao Simon Mwacha alivunjwa mkono karibu na joint. Hadi sasa amefanyiwa upasuaji mara 3 lakini hajapona. Wiki iliyopita viongozi wa BAVICHA walimtembelea na kumkuta amewekewa POP jingine. Huu ni mwezi wa 7 tangu avunjwe na Sabaya na bado hajapona.
Kutumia number za UN...
PART 2
Hakuishia hapo akavamia hoteli ya kitalii ya Weruweru inayomilikiwa na Cathbert. Siku hiyo Nandy alikua na show Arusha, akalala Weruweru. Usiku saa 9 Sabaya akavamia akiwa na kikosi cha watu 6 wenye silaha. Akalazimisha aoneshwe chumba cha Nandy, mhudumu aliyekua mapokezi akakataa...
PART 1
Mama ametupa zawadi nzuri ya Eid. Huu ni ushahidi kuwa Sabaya ameumiza watu wengi ndio maana maamuzi ya kumfurusha yamepokelewa kwa furaha kubwa na nchi nzima.
Jambo la muhimu zaidi mama hajaishia kumfurusha tu bali ameagiza ufanyike uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili ili afikishwe...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan hawa pichani ni waliokuwa walinzi wa Freeman Mbowe. Kuna Khalifa Hassan, Adam Kasekwa (ADAMO) na Mohamed Lingwenya.. Freeman Mbowe aliongeza ulinzi wa kutembea nao baada ya kuvamiwa Dodoma na kuvunjwa mguu wake wa kulia.
Wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuutarifu Umma kuwa; kwa mujibu wa Kifungu cha 37 (3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Mhe. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemjulisha...
Dear wakala wa chama,
Salamu sana.
Natumaini u mzima na umejiandaa vema kusimamia maamuzi yetu.
Najua una 'mchecheto' hivi, ile hali ambayo mtu hujisikia anapokuwa anatarajia kufunga ndoa na mpenziwe anayempenda sana. Presha si presha, kiwewe si kiwewe. Kwa ujumla utulivu unakuwa mdogo, kadri...
Nipende kuchukua fursa hii kuwapongeza Vijana wenzangu mnaomkubali Tundu Lissu kwani mpo vizuri kiakili, kifikra na mna nia njema na maono makubwa kwenye nchi hii.
Point to note:
Zingatia hii aanda kadi yako ya kupiga kura kama unavyolithamini Tumbo wakati wa kula. Tarehe 28.10.2020 umpigie...
CHELSEA 4-0 CRYSTAL PALACE, Premier League: Post-match reaction
By Mr blue
Siku nzuri kwa Ben Chilwell pamoja na Kurt Zouma bila kumsahau Jorge Luiz Frello Filho pamoja na Jeshi zima la Chelsea fc. Nianze kwa kuwakumbusha wapinzani wetu kuwa, Ben Chillwell ndo kwanza anaumri wa miaka 23. Yani...
*HUKUMU YA TUME DHIDI YA TUNDU LISSU*
Ukisoma taarifa ya Tume kuhusu Kumsimamisha Tundu Lissu kufanya kampeni SIKU SABA (7) na ukitafakari kwa kina kuhusu Mwenendo na Kanuni za Utoaji Haki;
Unajiuliza kama kweli Tume ya Uchaguzi na Kamati hiyo ya Maadili, ina Wasomi wa Sheria ndani yake...
CHELSEA 6-0 BARNSLEY, League Cup: Post-match reaction
Uwekezaji wa £89M ilikumnasa Kai Lukas Havertz umeanza kuzaa matunda. Kijana ameanza ku adapt baada ya kutupia brilliant hat-trick nakuiwezesha Chelsea FC kufuzu katika Carabao Cup round ya nne.
Tammy Abraham alikuwa wa moto [emoji91]...
Mtoto Laulita Mfalamagoha mwenye umri wa miaka 15 kidato cha kwanza shule ya sekondari Kurasini B mkazi wa Yombo Dovya amepotea tokea tarehe 29 /8/2020 siku ya jumamosi asubuhi ambapo aliaga anaelekea shuleni kwa yeyote atakae muona awasiliane kwa namba 0652312116 /0657316514 / 0743590292/...
Jeshi la Polisi na mwenendo wa Ukamataji
Kwa kutambua uhitaji wa ulinzi kwa Taifa nchi yetu iliunda Jeshi la Polisi likiwa chini ya sheria ya Jeshi la Polisi na huduma saidizi sura ya 322.
Kwa muktadha huo Jeshi la Polisi likapewa wajibu ambao umeainishwa katika kifungu namba 5 (1)...
MAKOSA 10 TUNAYOFANYA WAKATI TUNATEKWA
1.Watu wanaokuja Kututeka mara Nyingi,huwa tunawaona hawapo katika utaratibu Rasmi wa Ukamataji kama Wanavyofanya Jeshi la polisi.
>Hawavai Uniforms
>huja na magari ya kiraia
>hawaonyeshi Vitambulisho
>hutumia Nguvu badala ya Mashauriano au Maelewano...
WANATUTAKA NINI?
Taarifa mbaya mpya ni kutekwa kwa kijana, mtumishi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Tito Magoti. Kwamba watu wasiojulikana, kama kawaida yao, wamemteka na kutokomea naye.
Hawa watu hawataki Watanzania washerekee Krismasi na Mwaka Mpya kwa amani. Wanataka tuishi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.