Kaka pole sana.But kiukweli kama unapenda toka moyoni na kwli mna malengo cha msingi ni kukalishana chini mkaongea na umuulize huyo mwenzio kama kweli bado anakupenda kwa dhati, usije ukadanganyika na bikra mkapotezeana muda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.