Una ushahidi wa hii video? Unaweza kuweka link hapa? Vijana wa kiTanzania, tusiwe watu wa hovyo hovyo kuandika vitu ambavyo havina ushahidi. Ingia Google, Instagram, Youtube etc search Joel Nanauka, pitia maudhui yake utamfahamu vizuri.
Huyu Bwana nimemfahamu miaka 17 sasa, ni moja kati ya...
Gazeti refu sana, ila sijaona jambo linalotakiwa kuchunguzwa zaidi ya mwandishi kuonyesha chuki dhidi ya watendaji wasio raia. Uliichagua kazi unayoifanya, ifanye kwa moyo.
Sheria inataka kila unaposafiri na hard cash above $10,000 ufanye declaration pale airport au mpakani.
Wafanyabiashara wanaona the easiest, cheapest and most convenient way to transfer funds kutoka Tanzania to China, Dubai au Turkey ni kusafiri nazo wanapoenda kununua mzigo.
Debit cards zina...
Wadau naomba kuwasilisha.
Kiongozi wa juu wa serikali kwa cheo cha Spika wa Bunge ni mtu muhimu sana kwa wananchi na ni vyema tukaendelea kujulishwa na uongozi wa bunge kuhusu aliko.
Imekuwa muda mrefu hakuna taarifa rasmi kuhusu mahali aliko, kama anaumwa au la, anaendeleaje, afya yake...
Habari za kazi,
Wanahitajika wataalamu wa maabara kwa ajili ya maabara mpya binafsi inayotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni mkoani Mbeya.
Nafasi
1. Health Laboratory Technologist (Nafasi 1 - Part Time)
Sifa:
a)Diploma ya Maabara kutoka chuo kinachotambuliwa na awe na usajili kamili kutoka...
Kama uko Dar,
1. Nenda masoko ya Tandale, Mabibo na Tandika.
2. Angalia aina ya mikokoteni/matoroli yaliyopo pale
3. Tengeneza aina kama hayo au boresha zaidi (wastani kila toroli ni 400,000 - unaweza pata kama 10 kwa 4m)
4. Tafuta mnyororo mkubwa na kufuli la kufungia
5. Tafuta eneo la kupaki...
Natafuta CCTV technician ambaye atakuwa tayari kufanya kazi mikoani.
Nina wateja kadhaa kwa ajili ya kuwafanyia kazi.
Tuwasiliane kupitia PM, then nitakupigia
Mimi Si Joel Nanauka, ningekuwa ni yeye, ningejitambulisha rasmi.
Maslahi yangu ni kuona taifa la Tanzania linapata viongozi wazuri.
Maslahi yangu ni kuona tunaachana na viongozi wababaishaji wanaoishi kwa kutegemea kumkandamiza Mtanzania.
Maslahi yangu ni kuona Chama Kikuu cha upinzani...
Kinachoendelea kwenye mchakato wa kura ya maoni ndani ya CHADEMA Mtwara Mjini kinatakiwa kuangalia kwa jicho la umakini a viongozi ngazi za juu za chama, kama kweli CHADEMA wanataka kushinda kiti hicho Octoba 2015
Jana ilipangwa kufanyika uchaguzi wa kura ya maoni ambapo wagombea ni kama...
HISTORIA FUPI YA JOEL ARTHUR NANAUKA
Joel Arthur Nanauka ametangaza nia ya kuwania ubunge jimbo la Mtwara mjini kupitia CHADEMA. Tarehe 25 June 2015 alirejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake (CHADEMA) kuwawakilisha wanaMtwara. Akiwa kama mtangaza nia ambaye anakubalika miongoni mwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.