Hivi hawa CHADEMA wanatumia mbinu gani hadi wanaweza kujaza umati mkubwa hivi wa watu? Are they FREEMASON? Nina pata shida kuamini kama hawa jamaa wanakubalika kiasi hiki,jana nilipita karibu na mkutano wao somewhere hadi mwili ukasisimka kwa jinsi walivyojaza umati mkubwa wa watu.
Mkuu Ritz
Acha kujishusha hadhi,kweli na wewe una amini kuwa chopa isipoenda sehemu watu wa hilo eneo ambamo chopa haijaenda hawata kichagua hicho chama? Are u sure?
Waacheni CHADEMA na chopa zao,turudi kwenye chama chetu tukijenge,sisi tupo huku JF tuna jidanganya kujaza threads zenye propaganda chafu za kuwapondea hao jamaa ambazo hazina uwezo wa kumbadilisha Mtanzania anaye ipenda CHADEMA kuhamia CCM. Mimi nadhani ndugu zangu wana CCM tujikite na...
Mkuu ONE TWO,huyu jamaa ni janga,anajifanya much know eti akijidai anaichafua CHADEMA kumbe anaipaisha kwa kuionyesha jamii kuwa kuna baadhi yetu sisi wana CCM ni mambulula kutokana na hoja za kitoto za huyu jamaa,sijui hata yukoje
Chopa ya CHADEMA ina kuhusu nini? Wewe kula kukicha unawaza CHADEMA,Mbowe,Slaa,hivi hauna kitu chochote cha maendeleo utakacho kisema kwa manufaa ya Taifa letu na chama chetu kwa ujumla? Unadhani kuna mtu atafuata au kuamini huu utumbo wako unao uandika kila siku? Nina amini CCM hatuna vilaza...
HAMY-D
Poor minded,wewe kila kukicha una muwaza Mbowe na CHADEMA,asubuhi chadema,mchana chadema,usiku chadema,Mawazo yako ni chadema,chadema,chadema,chadema,na wakati chama chetu kina poromoka,unadhani watu waliopo Jf wana ufinyu wa mawazo kama unavyodhani wewe? Unadhani hawajui kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.