Search results

  1. Mtazamaji

    KING' AMUZI cha STARTIME MFT930

    Wadau wa tek Salaaaam Nimepata challenge moja sasa kabla sijatafuta mtaalam naomba kama kuna mwenye ujuzi anipe maelekezo nijaribu kuyafuata nione kama naweza kurekebisha hili tatizo. Tatizo Gani? King'amuzi cha startime mft 930 kilikuwa kinapokea vizuri matangazo na kuonyesha channle...
  2. Mtazamaji

    HISABATI: Unakumbuka nini

    Usishtuke hii mada hapa ndo mahala . Tuongelee story na history za somo la hesabu. Hili somo liikuwa moja ya changamoto kubwawangu ( Naamin wapo na wenzangu wengi tu) .Iwe nishule za msingi sekondary au hata walieoendelea nalo hadi "Havard" na "Oxfrd" za hapa bongo na huko majuu . Sasa...
  3. Mtazamaji

    Proxy - tujadili kitekniki

    Hi kama kawa naleta mjadla huu huku tayari nikiwa nimeshapitia kwa bwana googlle na bing. Lengo si kujua proxy ni nini au kazi zake lakini sio mbaya kwa faida atayependa atoe maelezo anajua nini kuhuus proxy? Ziko proxy za aina ngapi Zinafanyaje kazi Faida na hasasa zake. Hoja ya...
  4. Mtazamaji

    Maisha ya kijijini

    Haya wadau wa chitchat. Tukumbushane, tuhabarishane ,tuhadithiane raha na karaha za maisha ya vijijini tulizo wai kukutana nazo.Sio muhimu kutaja majina ya vijiji NB Kwa wale tu wenye Experince please. Kama hujaonja raha na karaha ya kwenda na kushi kijijini japo kwa mwezi wakati unasoma au...
  5. Mtazamaji

    NOKIA Asha Model

    Katika kukidhi kiu ya wapenda "gadget" lakini wasiotaka kutumia mkwanjwa mkubwa kununua simu za bei mkubwa (High end)kama Nokia Lumia Nokia wamekuja Model ya asha. Simu za NokiaAsha zinaelezwa kuwa na feature kama Apps zilizokwenye baadhi ya smartpone maarufu Tech Specs na bei za Asha...
  6. Mtazamaji

    Uzalendo, tija na ufanisi: Ni kipi muhimu zaidi viongozi wetu kuzingatia?

    Wakuu Kwa kimombo kama sijakosea maneno hayo ni Patriostism, Efficiency na effectivenss. Kwa kiongozi au mfanya maamuzi yeyote hayo ni mambo matatu muhimu ya Kuzingatia. Katika Kudadavua mtandao nikakutana na kipande Hiki Kwahiyo tunaona kumbe sio tu suala la usalama linaloamua gani...
  7. Mtazamaji

    Mjadala: Kipi kigumu kati ya programming na software development

    Wakuu nadahni Tittle imejitosheleza .Nimjadala.Kipi kigumu au kipi ni rahisi. Nakaribisha mawazo , maoni yenu huku tukielezananakutoa sababu za hoja zetu Karibuni
  8. Mtazamaji

    Katiba yenyewe inapokuwa kikwazo cha kuijadili

    Wakuu Katika mambo muhimu yanayotakiwa kujadiliwa na tumalizane nayo katika katiba ni Huu muungano tata. Lakini hata wanasiasa na vyama wawe waupinzani au waliomo CCM kuna wanaoona ni bora kwa pande mbili za muungano muungano uvunjwe Waoapenda kuona kuna serikai Moja Wanaopenda kuona kuna...
  9. Mtazamaji

    NYENZO ZA KUTATHIMINI TOVUTI na BLOGU

    As usual mtazamaji is not the greatest tech guru in town but likes to share some tips/tricks and knowleddge about ICT..... Badaa ya mkwara wa kuanza kwa kimombo nirejee kutumia lugha iliyonipata A++ pekee O level teh teh teh .. Kwa Wale blog/Tovuti na kwa wanaopenda kujua mambo ya...
  10. Mtazamaji

    Programmer/devloper wa tanzania mpo? Microsoft inawalipa watengeza app

    Yes inaezekana wapo watanzania wenye appp zao kwenye masoko ya Adroid na Ios.Lakini kwa tathmini ya haraka haraka sidhani kama zinafanya vizuri katika mauuzo . Kilichonifanya nirushe huu uzi ni aada ya kusoma hapa computer world na hapa dailytech . So nikahisi kama kuna...
  11. Mtazamaji

    Sera ya teknohama tanzania-

    Wana jfer wa tek Leo ghafla nikaamua kuitafuta sera ya ICT(TENOHAMA) Tanzania. Yap uzuri wa internet nikaipata lakini naona ni ya mwaka 200sijui kama hakuna revised version Kama kuna mwenye link ya ya karibunizaidi nitashukuru akinidondoshea hapa Kama kama Mara nyingi...
  12. Mtazamaji

    Web designer help

    Wakuu wenye maujuzi ya web designing nadhani itakuwa sahihi niseka wa case hii web designingI mean CSS nina issue kwenye hii Gym yangu ya mazoezi ya IT kwa vitendo . Baada ya muda nmefikiria nibadilishe design iwe na column tatu na sio mbii kama sasa . Sasa nimecheza cheza nayo ile...
  13. Mtazamaji

    Waziri gani shujaa awe wa kwanza kutumia japo vitara?

    Yes nimetumia neno "shujaa" sababu inaonekana ni uamuzi mgumu mno. Nadhani atayekuwa wa kwanza tutampa ushujaa japo Mara nyingi tunayaona haya ma VX na hawa vigogo wakiwa ndani from masaki to posta. Hivi tujiulize/tuwaulize Hakuna Aliyewai kufikiria anaweza kuokoa shilingi ngapi za mafuta...
  14. Mtazamaji

    Alikufa kwa zaidi ya dk 70. Moyo wake umepigwa shoti zaidi ya 15 ndio ukafanya kazi tena

    Nimesoma habari hii ambayo si ngeni kwa wanaofuatilia michezo hasa soka ya england . Ni kuhuus Mchezabi Fabrice muamba mwenye asili ya DRC aliyedondnoka uwanjani wakati wa mechi. Niichojiuiza je inawezeka huku kwetu wengi tunawazika au tutazikwa sababu ya kutokuwepo vifaa na huuma sahihi...
  15. Mtazamaji

    Ugonjwa wa ajabu uganda- watoto wanakuwa zombies

    Nimekutaan na hii habari mtandaoni. Baffling Illness Strikes Africa, Turns Children Into Violent "Zombies" World Health Organization is on high alert about new Ugandan outbreak, cause is not fully known It's called the "nodding disease" and it's a baffling illness that has struck...
  16. Mtazamaji

    Ports katika kompyuta

    Wengi wetu neno Ports katika mambo ya kompyuta linaweza lisiwe geni. Au hata kama ni geni basi ni kitu amabcho tunakitumia bila kugundua. Leo tujaribu kucheki ABCc za computer/comunication ports na wajuzi zaidi wataongezea XYZ…. Au kunisahihisha pale nilipokosea Port (s) ni nini ...
  17. Mtazamaji

    Ushindani wa kupelekana mahakamani sasa wahamai kwenye tovuti

    Sasa Imekuwa awada kusikia kuna kesi ya IPad ddidi ya samsung au kesi ya Motorola dhidi ya Apple. Hivi sasa makapuni ya simu ushidani wao sio tu kwenye kuuza bidhaa za madukani bali pia kuna ushindani wa patent mahakamani. Wimbi hili la kesi limehamia na kwenye mitandao ambapo sasa Yahoo...
  18. Mtazamaji

    WEBMASTERS : JOOMLA 1.5 inafikia tamati sasa ipo Joomla! 2.5

    Tovuti kadhaa za taasisi kubwa kubwa na blog chache zinazopendwa hapa bongo zinatumia Joomla! toleo la 1.5 . . Sasa toelo hii a jooomla! lilikuwa likisappotiwa kwa muda mrefu matatizzo ya kiusalama (security) na mengineyo kwa kupatiwa suluisho na wataaam wa joomla wenyewe, lakini...
  19. Mtazamaji

    RISE AND FALL OF Luzsec- Betrayed by Their Chief

    Makala hii ni kama movie. Jinsi Lulzsec walivyofanya mambo na hatimaye wahusika mmoja baada ya wmingine kukamatwa. Kiongozi wao Mkuu kwa jina la "sabu" ndio aliwanasisha wote. From a hacker to a snitch No hacker group ignited controversy or captured the attention of the tech community quite...
  20. Mtazamaji

    Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

    Wakuu wenye simu za android na Iphone......... Moja ya sifa ya hizi simu zinazotmia platform hii ni Apps mbai mbali . Inawezekana kuna mtu anatumia app nzuri fulani ambayo mwenzake hajui Nilikuwa najaribu ku google best anroid/Iphone apps. Matokeo nyingi niizoona haziwezi kuwa na...
Back
Top Bottom