Hizo picha hazitoi taswira halisi ya idadi halisi ya watu waliohudhuria huo mkutano,kwa kweli magamba walivuna aibu watu walio hudhuria walikuwa wachache mno kulinganisha na wao wanavyojitapa kukubalika hapa Mbeya,kumbuka hapo ni Kabwe sehemu ambayo ni katikati kabisa ya mji na ni centre ya...
Utawapenda zaidi wakiwa wanatangaza mpira ligi ya Uingereza kwa vijimaneno vimisemo na utani wa hapa na pale inakuwa ni zaidi ya mpira,kuna jamaa aliwahi kuniambia kuwa huyu Saleem Kikeke ni mkeiii.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.