Hivi bado unasikiliza JAHAZI ya clouds? Mm nikishasikia sauti ya Kibonde nabadilisha stesheni maana najua nitaboreka. Huyu alitegemea kuwa msemaji wa serekali ya Edward Lowassa au mmemsahau pale uwanja wa Shekh Abed pale arusha na dar alishajiona anaofisi ikulu. Yeye atalalama sana
Huyu mzee kama anapagawa hivi, yeye hawezi tena kutoa ushauri ukazingatiwa wakati alisha fanya chaguo lake. Au hawa ndio wale wazee marehemu captain Komba aliyewamaanisha enzi ya bunge maalum?
Nimeamini nguvu ya umaa hushinda udhalimu, inabidi watanzania wote tujifunze kwa wananchi wa kata ya Migombani-segerea wilaya ya ilala bila kujali itikadi lazima demokrasia iheshimiwe, HAKI HAIOMBWI INADAIWA
Wasomi gani wapuuzi hivi. Wezenu hajapata mikopo sababu ya ufisadi wa wachache kitafuna kodi ambazo zingewezesha wengine nao kusoma nyie buku tano tano zinawapofusha macho, aibu
Wajuzi naomba kujuzwa, leo tunasheherekea kuzaliwa kwa TANGANYIKA. Nijuzeni ni lini TANGANYIKA alikuwa, ni lini alizeeka ni lini alikufa na wapi kaburi lake alipozikiwa, nani msimamizi wa mirathi yake? Nikijua nitafurahi kama sivyo naamini mzazi wetu TANGANYIKA iko siku atatoka huko kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.