ndo hivo!mnadhimu mkuu kwa ukubwa wa jeshi letu lazima awe luteni kanali na ni mmoja tu nchi nzima,kwa hiyo lazima apandishwe na niyeye pekee mwenye cheo hicho!Nampongeza sana!
wewe ni pumbafu wizara ya Ulinzi inahusikaje? hiyo ni wizara ya mambo ya ndani, Usipotoshe waungwana na usijadili kama hata wizara huifahamu political robbot!
kwa nchi kama yetu!democracy sio nji sahihi! tunahitaji dictatorship ya watu wachache walioaminiwa na watu kwa maslahi ya jamii,take example of China regime
Wewe ndo muongo!no research no right to speak!kazini kwangu mshahara umeongezwa kila mtu kulingana na kiwango cha mshahara,wa chini kabisa wameongezewa 20% na kadiri mshahara unavyopanda percent inashuka hadi 15%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.