Search results

  1. vamda

    Je Wajua Mchezo wa Mieleka Uliwahi Kuwepo Hapa Nchini?

    Nakumbuka power sangandele (R. I. P)
  2. vamda

    Kweli sasa Shilingi yetu inazidi Kushuka thamani yake kama Chama Kimoja Kikongwe cha Siasa kinavyozidi Kushuka thamani Barani Afrika

    Watz sijui nani aliyetuloga. Siku hizo kila siku ni kuwashangilia na kuwasifia viongozi. Ndo maana tunazidi kuachwa afrika mashariki
  3. vamda

    Kuwa mwangalifu kununua viwanja maeneo ya Kerege, Mlingotini, Kondo, Zinga, Kiromo na Ukuni hayo ni maeneo ya Bandari!

    Asante kwa taarifa. Vipi kuhusu eneo la MATATA? kule kwa mzungu. Je, nalo ni eneo la bandari?
  4. vamda

    Mstaafu anapewa milioni 17 baada ya miaka 40 mbunge millioni 17 kwa mwezi

    Watz tumezubaa sana. Wanasiasa wanatumia hali hiyo kama fursa ya kujilimbikizia utajiri kwa kupora mali. Tunawatazama tu kwa macho yaliyokta tamaa
  5. vamda

    DOKEZO Kuweni makini na utapeli nimepigwa milioni na ushee, matapeli wanakuja na njia mpya kila siku

    Sio wkt mwingine bali wkt wote tamaa ndio humponza bibadamu. Hawakukosea waliosema TAMAA MBELE MAUTI NYUMA
  6. vamda

    DOKEZO Kuweni makini na utapeli nimepigwa milioni na ushee, matapeli wanakuja na njia mpya kila siku

    Mm mwaka jana nilinusurika na janga hilo. Niliwastukia mapema kabla madhara hayajatokea
  7. vamda

    Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

    Mpwayungu umebadilisha ID. Duniani watu hawafanani. Kuna matajiri na masikini. Universal nature ndivyo ilivyo. Serikali ndiyo inayotesa walimu. Wachache wanapewa posho (walimu wakuu), walimu wengine hawapewi. Kosa ni la SERIKALI
  8. vamda

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Kenya chakula chao kikuu ni ugali, wanaita SIMA
  9. vamda

    Ni kwanini wilaya ya Kigamboni maendeleo yapo taratibu sana?

    Kigamboni, eneo la Pembamnazi serikali iliuza viwanja kwa wananchi tokea mwaka 2015. Mwaka leo eneo hilo bado ni pori. Barbara ya vumbi ni moja tu. Watu wanashindwa kujenga maana hakuna njia za kuingia kwenye viwanja (saiti). Serikali imepasusa Kigamboni sijui kwa nini. Anahitajika mkombozi ili...
  10. vamda

    Kwa nionavyo, Wakili huyu hatakuwa na mwisho mwema kiroho

    Mm huwa nawashangaa has wanaojiita mawakili. Mteja wake anekiri mbele yake juwa ametenda kosa mfano ameua, ameiba nk. Jambo la kushangaza wakili huyo atasimama mahakamani na kusema kuwa mteja wake hajatenda kosa (hajaua, hajaiba nk). Na mtuhumiwa huyo itamuachia huru. Mawakili wana kesi kubwa...
  11. vamda

    LONDON: The Global Finance Awards waitaja NMB toka Tanzania kama Benki kinara yenye riba nafuu na yenye kuwajali zaidi wateja wake zaidi duniani

    Nmb riba 16%. Baadhi ya mabenki riba ni chin ya hapo. Nashindwa kutaja majina kwa sababu nitakuwa nawatangaza kibiashara
  12. vamda

    Hakuna dawa ya kumroga mtu? maana nishaibiwa tayari na ujanja wangu huu

    Pole sn. Utamaduni wa watz umebadilika.siku his watanzania tunekuwa waongo sijapata kuona.pole kwa yaliyokukuta
  13. vamda

    Kipindupindu miji ya Lusaka na Zimbabwe

    Upo nchi ya Harare
  14. vamda

    Ili uweze kupanda Mlima Kilimanjaro andaa Bajeti ya Shilingi 1,700,000

    Gharama hizo ni kubwa sana kwa mtanzania wa kawaida. Kipato cha Watanzania wengi ni kidogo. Hivyo kama serikali inawathamini na kuwapenda raia wake, iweke viwango nafuu kwa kupunguza gharama. Mfano: 1. Badala ya kulala hotel ya kitalii, watu walale kwenye mahema (tents) 2. Sio lazima watu...
  15. vamda

    Kuzuia wimbo wa 'Honey' Shuleni na kuuacha uendelee sokoni kumeokoa nini?

    Mbona kwenye sherehe za mahafali (GRADUATION) mashuleni, nyimbo hizo kila siku zinapigwa. Walimu wakuu hawachukuliwi hatua zozote? Huyo mwl mkuu ameonewa kwa sababu nyimbo hizo kila wakati zinapigwa kwenye sherehe mbalimbali mashuleni. Tuache kufanya kazi kwa mihemko
  16. vamda

    Nauza Wifi Bulb Camera

    Umbali upi? . Kilometa ngapi?
  17. vamda

    Uchi ni nini?

    Umenikumbusha nilipokuwa Bunda nilishangaa kuona watu wanamwita mama aliyekuwa anauza uji kwa jina la mama u***.
  18. vamda

    DOKEZO Kero: Askari trafiki wa Buguruni Sheli na Tazara wanatengeneza foleni kwa manufaa yao

    Duuh. Inasikitisha sana. Askari trafiki wanafanya michezo ya kupokea rushwa hadharani kwa sababu wanajua hawachukuliwi hatua yeyote. Walipata hofu kipindi cha NYERERE na anko MAGU
  19. vamda

    Safari bado ndugu yangu, hujamaliza!

    Neno lenye hekima hilo. Mwenye masikio na asikie
Back
Top Bottom