Yaani toka ujio wa waziri mkuu mstaafu habari za CHADEMA zimenifanya kuwa kama kila keyboard imekuwa ipo busy na viongozi hawa mara Dr. Slaa kagoma mara Mh. Mnyika naye kagoma mara Mh. Tundu naye kagoma daah mnatuchosha kabisa hata habari ipi iaminiwe sasa kwani kila mmoja akinywa maji ya UHAI...
Uongozi kwa njia ya vitisho ni uongozi wa kudumu kwa muda mfupi tu. Watu wanapokosoa maamuzi ya kijinga wanatumia haki yao kama raia na wanaweza kuelimishwa kwa nini maamuzi hayo yalifanyika ama namna jambo hilo linalosibu jamii laweza kufanyiwa kazi. Viongozi wanatenda kwa ajili na kwa niaba ya...
Gari aina ya toyota land cruser prado inauzwa ipo arusha na ni imported kutoka japan this month in CC 2690 imetembea km 38502 inatumia petrol na ina piston nne kwa anahitaji wasiliana nami kupitia mail papaking4@yahoo.com
asante
hello
Nina utashi wa kujua ukweli kuhusu hali halisi ya igunga hivyo naomba mwenye contact za mkuu wa idara ya kampeni ya CHADEMA naomba anitumie katika mail yangu papaking4@yahoo.com ama za mwenyekiti wa mkoa ama wa wilaya hata za mjumbe yeyote wa chadema aliyepo huko igunga
asante
tafadhali Makambo na viongozi wa CCM msituharibia amani yetu na uchumi wetu kwa uchu wa madaraka ya Dr. Batlilda Buriani na Lowasa kwani sasa leo nimeshuhudia Lowasa anaingia katika ofisi za manispaa ya Arusha kufanya nini kwa wadhifa upi wakati madaraka yake aliyashindwa na huyu mgombea wa CCM...
Na tuweni wakweli? Katika wagombea URAIS bila kuangalia chama..ukiambiwa pigia kura "UADILIFU, HAKI na UZALENDO nani anastahili? Jibu lako nani apewe uongozi wa nchi?
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na
mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu...
Mimi inaniuma sana kuona namna vyombo vyetu vya habari vilivyo mahiri machachari katika kupotosha jamii kwa haswa katika ukweli wa hali halisi ya taifa letu kweli ukisoma magazeti yote yanazungumza maisha ya wanasiasa ni kweli nakubali ni moja ya maadili je watu kama Prof. Lipumba mwenye...
[SIZE="2"]Ndugu wana jamii forams
ni muhimu sana kujitolea ile kuweza kuleta mabadiliko ya kisiasa ili uchumi wetu uweze kuonguzwa na watu wenye mtizamo chanya hivyo basi wewe ukiwa ni mwanachama ama momaji wa jamii forums naomba sana sana uhakikishe unakuwa mpiga kura kwa kuwa kura yako ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.