Habari zenu wapendwa nawaomba munisaidie tatizo langu najihisi kua ni mjamzito mana dalili zote za ujauzito ninazo na hapa chini ya kitovu pameanza uvimbe.
Tatizo langu nikwamba napata hedhi kama kawaida tarehe inapofika ispokua haina maumivu yoyote tofauti na siku za nyuma
Je hii ni hali ya...
Habari zenu wapendwa.
Nina tatizo la kutokwa na hewa yenye sauti wakati wa kufanya tendo la ndoa na hii inatokezea kwa baadhi ya style.
Naombeni mnisaidie kuondoa tatizo hili.
sio mapema mwanangu anamiezi mitano naogopa kumbebea mimba na babake hawezi kuishia nje au kama kuna njia nyngine ya kupanga isiyo ya kisasa naombeni mnifahamishe
Mungu ndie mpangaji wa yote, hata mimi jirani yangu yalimkuta kama yako ila yeye alikataa kufunga uzazi kwani alikua na kiu ya mtoto wa kiume, akapata mimba na akalea mimba yake ilipofika siku akajifungua salama na ni miujiza tu mana alijifungulia nyumbani hakuwahi hata kupelekwa hospital, na...
na jee! Nirahisi mimi kujigundua kua nina gesi au sio rahisi? Kwani hadi sasa sijaona ishara yoyote ya gesi tumboni kwangu hii ndio kwanza unanijuulisha wewe
Habari zenu wapendwa, naombeni ushauri wa hii hali nilonayo, nna ujauzito wa miezi mitatu na nusu ila nahisi kama kiumbe kinacheza tumboni na mtikisiko wa tumbo huonekana hata kwa kuangalia tumbo tu, je hakuna tatizo maana nasikia mapigo huanza kusikika katika wiki ya 18 hadi 20 kwa mimba ya...
Habari zenu wapendwa, naomba mnisaidie orodha ya vyakula na matunda ambayo nikitumia naweza pata calcium na vitamin D kwa wingi ili niimarishe afya yangu, mimi ni mja mzito na ni miezi mitatu sasa tangu nibebe mimba lakini nimekutwa na tatizo la magoti kupiga kelele wakati nainuka nisaidieni...
Huu ni uongo wala dini yetu haina uzito wowote, kazi ipo kwenu nyinyi maana hata hiyo dini alikujanayo issa hamuifati sasa sijui nani atakua muombez wenu, injili tunayoijua waislam ni ile aliokujanayo issa na tumeikubali sio yenu ya kutunga
Hiyo ni injili aliyokujanayo issa mwenyewe, na mlitakiwa msiongeze kitu ila wazee wenu wameongeza na mengine kuyapunguza, na issa alisema mumuamin mungu ila nyinyi hamjamuamin mwenyewe mungu amesema hakuzaa wala hakuzaliwa, nyinyi mmekanusha kwa kusema issa ni mwana wa mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.