Data ni taarifa tu inaweza kuwa ni documents, photos, videos; kwa hiyo hakuna mmiliki mmoja, ukitaka data za NIDA wao ndo wamiliki, ukitaka za JF wao ndo wamiliki, ukitaka za Yahoo wao ndo wamiliki. Na haziwezi kuisha kwa sababu is not a physical thing, wewe ukihitaji data unaaccess server yao...
Mkuu lakini ushajibiwa, GB na MB ni sawa na kusema Kilometers au Miles zinatengenezwaje. GB ni kifupi cha Gigabyte na ni kipimo cha data, data ni taarifa zinazotumwa katika mtandao, inaweza kuwa ni text, picha, video. Kwa hiyo ili uweze kupata text, picha au video kutoka say JF lazima uwe...
Wenye data wengi wanafaidika na matangazo, mfano hiyo 1KB ikifika JF mmiliki anakuwa ni JF na yeye anafaidika na matangazo kutoka kwa makampuni yanayotangaza biashara zao.
Kuna data ambazo unaweza kununua na kuna zingine ambazo ni free ili mradi uwe na internet connection.
Hizo MB na GB ni kipimo cha data ambazo utakuwa ama umepakua (download) au umepandisha (upload), kwa hiyo wao kama wao hawamiliki hizo data, wamiliki wa data ni wengine wao wanakusaidia kufikia hizo data zilipo. Mfano huu ujumbe inaweza kuwa ni kama labda 1KB. Hivyo hii data imetoka kwangu...
Kimsingi mmiliki wa hizo data ni kampuni uliyojiunga nayo kukupa huduma ya Internet, kwa mfano kama wewe unatumia labda tuseme Halotel, Halotel ndo mwenye control na kiasi cha data kiasi gani unaweza kutumia kwa kasi gani. Makampuni haya nayo yanapata huduma kwa makampuni mengine, mfano Tanzania...
Kimsingi wote wako sahihi ingawa si sahihi sana.
Zamani kila kampuni ya mawasiliano ilikuwa inajenga minara yake yenyewe lakini baada ya mwaka 2010 (sikumbuki mwaka exactly) kampuni ya Helios Towers Tanzania (HTT) iliingia mkataba wa kununua na kumiliki minara yote iliyokuwa ya Vodacom na Tigo...
Watakuwepo wengi tu, Mohamed Dewji wakati anafadhili Simba miaka ya 2000 mwanzoni alikuwa na umri gani?
Kuna mwingine anaitwa sijui nani Ngowi, sikumbuki jina lake la kwanza anamiliki kampuni inajihusisha na mambo ya Solar naye ni mdogo na ni tajiri vile vile.
Inawezekana siko sahihi kwa mujibu wa ndoa yako uliyofunga, lakini ukweli ni kwamba kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya mwaka 1971 si kila MTU ana mamlaka ya kufungisha hadi pale atakapokuwa na leseni ya kufungisha ndoa ambayo inatolewa na msajili mkuu wa ndoa. Inawezekana aliyekufuñgisha ndoa hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.