Mgomo wa walimu una madhara ya huko mbeleni ila serekali haitambui hili. Kwa mfano; waalimu waanze kudanganya wanafunzi kuwa raisi wa kwanza wa nchi ni mrisho mpoto, mtoto atakua akifahamu hilo tu na matokeo yataonekana pale ambapo wanafunzi asilimia kubwa watafeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.