Search results

  1. K

    Kipi kiambatanisho sahihi kwenye kukata bima kati ya Kadi ya Mpiga kura na NIDA?

    Habari wanaJF, Mimi kero yangu nimekutana nayo kutoka kwa kaka mmoja anayepokea nyaraka za kumkatia mama yangu Bima ya afya kanishangaza sana, mwanzo aliniambia jina la mama yako haliendani na lililopo cheti cha kuzaliwa. Nikaenda RITA kwa ajili ya marekebisho, nikarudi kwake akaniambia mama...
  2. K

    Barua ya Zitto kuhusu Lwakatare: Maelezo yangu

    kwa kweli CCM watafanya kila linalowezekana na hasa tunakoelekea ili waweze kukipunguza makali chadema na hasa kukigawa na hii ni kwa sababu hawana mtu makini wa kuongoza nchi hii badala yake kuna mafisadi tu,na ndo hao wanategemewa kuchukua form za urais sasa sisi kama wanainchi ni nani atakaye...
  3. K

    Kukithiri kwa rushwa tz.

    ndg watanzania wenzangu hii rushwa ivi chanzo chake hasa nn?Sasa imeanza kuingia hadi kwenye chama ninachokipenda nadhani wote mnakijua ambacho kimeibua mambo mengi sana wengi wetu tulikuwa hatuyajui nikianza na swala la "RICHMOND","EPA"sasa hapa napata kigugumizi tena ninaposikia kuna mh.flani...
Back
Top Bottom