Ni kweli kabisa kwamba polisi watafakari faida na madhara ya kutekeleza amri wanapopewa amri na wakubwa zao. Kama mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi, hivi hakujua kuwa kuua ni kosa la jinai kisheria? Mauaji anayotuhumiwa nayo yalikuwa na tija gani kwake. Polisi changanyeni na zenu, kumbukeni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.