Hili jibu ni murua sana. Naomba ujumbe huu anakilishwe waziri mwenye dhamana. Kwamba dawa za bei nafuu ni mnadala ili watumishi wa nhif waweze kujenga magorofa na kununua mavieite.
Habari ndugu zangu kuna tatizo kubwa katika hili suala nililowasilisha hapo juu. Shule nyingi kuanzia chekechea hadi kidato cha sita zina matatizo makubwa haswa zile zinazotoa ufaulu wa kiwango cha juu. Wanafunzi wanaamka saa nane na wanalala saa saba usiku ili wakeshe madarasani wakariri...
NB: Naomba hii mada ijadiliwe na watu wenye uelewa sio kila mada ina mrengo wa utani na masihara. Kama huna hoja ukae kimya ujifunze.
Wadau nimeona katika teuzi za leo Bw. Daniel Chongolo former General Secretary wa CCM ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa. Hii ni promotion au demotion? Tunaomba watu...
Mko na wana mnakata vyombo mfukoni una 30k unajua kabisa mmeshazidisha bill ila unaona poa tu ngoja mmwagilie roho, mangi atakuandika kwenye daftari, anatoka mtu huko anaifuta bili yote anawazungushia na tano tano kila mtu!! Mtu weweee[emoji23][emoji23]
Kuna wimbo mpya huwa jamaa anaimba vizuri sana ni mpya lakini ni kama wa kifaransa hivyo hata kujua jina imekuwa ngumu...ni kama kwenye chorus wanamalizia na ...bon a saan...bon a saaan...tutaata tutataaa...bon a saan...boon a saan[emoji3][emoji3][emoji3]
Wana JF msiwe mnaandika ili kujifurahisha eti ni uzembe mzazi/wazazi hell no! Kukojoa kwa mtoto haina uhusiano na malezi wala sio makusudi ya mtoto ni out of control situation ambayo inasababishwa na either mtoto kuwa na usingizi mzito sana, kibofu kidogo kinachoshindwa kuhimili kuzuia mkojo...
Hivi ikitokea una mke, mna familia na mnapendana lakini kila mara kuna migogoro utafanyaje? Na ikitokea mwenzako hana upendo na ndugu zako unafanyeje? Mfano una kaka yako ulikuwa unamuuguza akafanyiwa operation lakini kabla ya kwenda kwenye operation ukagombana na mwenzako kutokana na ugomvi...
Kupewa nyumba mtu ambaye sio mfanyakazi wa Serikali hakukatazwi, kwani yeye ni mtanzania pia, labda upewaji ukiuke utaratibu hapo ndipo inaweza kuwa hoja.
Most of radio presenters lack some insights information on various matter (espicially critical and serious news or data). You will find most of them make mistakes/misinform the public on such news. This is mainly due to employing people who are fame without regarding to their intellectuality...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.