Kuwa compitent tu kwenye kozi unayoomba kufundisha..pia kwa ziada uwe vizuri hapa kwa psychology..teaching methodologies... na kujiamini tuu..aanza kugoogle kama umesahau sahau..na maswali yanaongezeka au kupungua kadri na namna unavyojibu..
2015 pekee udom walihitimu walimu elfu tatu..maanake kwa makadirio tu kuna walimu elfu 24 wa udom tuu... probably kuna walimu zaidi ya laki moja na nusu wahitimu wa vyuo vyote nchini mpaka sasa..wastani wa ajira za walimu kila mwaka ni elfu kumi tu hivyo since 2015 walimu wasiofika elfu 70...
Swala la hela huko mimi sipo nlikupa taarifa tu kuwa nafasi hizi waombaji ni wengi ni ngumu kuwafanyia interview..kama sifa kila mtu anazo basi kuna mahali watapishana kidogo tu bigezo vya ziada ni siri yao inavyoonekana...sijaongea kwa hisia kwamba kuna upigaji huko nimeongeq uhalisia wa ugumu...
Ubao ni wa kufundishia ni kama rough paper tu sio wa kuandikia notes..mwalimu una dk 45 mpaka 90 tu z kufundisha darasani muda wa kuaaandikia notes ukowapi...hiyo 200 inakushinda nini
GPA HAI CLAIM JUSTICE WALA HAISHINDI KESI...MAHAKAMANI PALE MFANO HUA UNAPELEKA CHETI AU TRUTH..GPA INATUMIKAJE HAPO.... cha muhimu taaluma unayo hata ajira zikitoka kuna usaili..pale ndio watapima unanini kichwani sio gpa...mtu unapataje 4.9 gpa ya law..hivi una muda hata wa ku experience...
Umejaribu instagram..kama umeenda huko basi unajua kabisa huku jf unaongea uongo tuu..au unapitaga jukwaa lipi..soma vizuri maisha ya wengi humu ni magumu but wana adia nyingi na nzuri tu..kuna uzi kibao zinaelezea hali ilivyongumu kwa watu..jukwaa la ajira.. jukwaa la inteligence umepita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.