Neno la Mungu linasema Kisasi ni juu ya Mungu.Namwomba Mungu alipe kisasi kwa wote waliotenda unyama huo na kuiacha familia yake ikibaki ndani ya mateso na huzuni kiasi hicho na cha kutisha namna hiyo.
Roho inaniuma sana nikimtazama huyo mtoto na hata wadogo zake.Mungu awape faraja
Hivi wakati hii sheria inapitishwa wabunge walikuwa wapi na je hawakuiona hasara zake?maana nilisikia kuwa wao wakimaliza muda wao wanapata mafao yao.je wale wabunge wanaokuwa mbele kutetea maslahi ya wanyonge walikuwa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.