Yaani mimi katika vitu vinavyosumbua akili yangu ni hii habari ya mashoga na 'gay rights'
Kwa sasa niko kwenye mji wa San Diego, California. Kila unapoenda hawa watu wamejaa, ndio wanaofanya kazi kwenye mabenki, mahoteli na kila mahali, kiasi kwamba unaweza kudhani kuwa idadi yao ni kubwa...
This might very easily be a simple CRYPTOCOCCAL MENINGITIS or CEREBRAL TOXOPLASMOSIS.
I hope the doctors at Muhimbili are sharp enough to do a fundoscopy and lumbar puncture then start the guy on the meds as required.
Ni wakati wa kutooneana aibu, no matter how big a politician the guy is
We need to stop the limitless and meaningless importation of goods such as useless plastics that are brought into the country by the ton as well as other items that are either non-essential or can be manufactured within Tanzania.
And there will be some morons even within the 'crisis meeting'...
Nonsense. It is important to differentiate between 'doctors' i.e degree holders and clinical officers. There is no such thing as a 3-year medical training.
Is this true? Is what he said on record?
I hope there is at least one media house in TZ brave enough to make this public.
This is very unethical behaviour
Sadly hamna chochote kitakachotokea.
China waziri aliekuwa na dhamana ya usafirishaji imetokea ajali ya treni - kitu ambacho hana uwezo wa moja kwa moja kukizuia lakini amejiuzulu mwenyewe kwa hiari. Not in Tanzania
It is sad that today's Tanzania is being run as if it were a country just out of the anarchy of war.
A lot of strange goings-on that no-one comes out in the open to tackle.... and the few that do end up being discredited by our own government infront of the common mwananchi
Hospitali ya rufaa maana yake lazima iwe na madaktari bingwa.
Je, hospitali iko tayari kupandisha mishahara na marupurupu mengine kwa madaktari bingwa ili kuwashawishi kutoka katika mikoa/ maeneo yenye maslahi zaidi (Dar, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro (kwa kiasi flani))? Au wasaidizi wa madaktari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.