Kwa mtazamo wangu nia ya mambo yafuatayo katika nchi yetu sio ya dhati na ninawasiasi iwapo hawa wakubwa wetu hawahusiki na haya.
1.Biashara ya madawa ya kulevya-iwapo viongizi wetu hili linawauma na kuwakera wangelitungia sheria kali mfano ya kuwafunga kifungo cha maisha wale wote wanaokamatwa...
Je vitabu vya dini vina faida gani iwapo mioyo yetu imejaa maovu tena yasiyosemekana?,mfano:wizi,unyang'anyi,uasherati,ufiraji,chuki,ubinafsi,majivuno,na mambo kama hayo kwa kisingizio cha dini?.
Kama kweli tunampenda mungu kwa nini tusiyaache maovu yetu kwanza?,
Kwa nachofahamu sheria iliyopo inasema anything can be stated confidential kama kiongozi wa juu ataona hivyo. Huu ni upuuzi mfano mzuri ni wizi wa EPA by Deep green,etc eti inahusisha ununuzi vifaa vya jeshi so lisizungumzwe uongo mtupu. Kwa kuwa hukumu sio kubwa tunakwenda jela hizo 2 years...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.