Nafanya mazoezi sana,nimejinyima chakula nikaambulia madonda ya tumbo,asali,maji ya uvuguvugu,ndimu vyote nimetumia mwaka sasa unaisha,matunda mboga mboga mpaka zimenichosha-jana nimepandwa na ugonjwa wa ghafla nimepimwa naambiwa presha juu,uzito wangu sasa ni kilo 98 ukilinganisha na urefu wa...
ahsante sana mkuu kwa habari hizo,naomba kama kuna wabongo wapo huko uniunganishe nao nikifika niwatafute ndugu zangu hao...hata kama wapo hapa wajitokeze tuwasiliane
Habari jf members...i salute you comrades...nimekuwa nikiapply kazi nchini south sudan,niliwahi kufanyiwa interview online sehemu tatu tofauti tofauti,ya kwanza ilikuwa ni Kenana sugar industry near nile river basin kwa nafasi ya human resource manager,sehemu nyingine ni mradi wa kutokomeza njaa...
ujinga wa jf ni kuacha hoja na kukimbilia upuuzi! Hoja ya mkuu ni nzuri sana ila yameanza majibizano ya kijinga,kwanini usimtafute kwa pm halafu hoja yake ikajibiwa
Salaam! Ndugu zangu,kuna jamaa yangu ni mfanyakazi,anahitaji mkopo wa haraka wenye masharti nafuu! Amepata dharura hivyo anahitaji milioni 5 cash mkopo,yupo tayari kulipa deni hilo kwa makato ya mshahara wake--mwenye kusaidia ani PM au aandike namba zake hapa
Hujawahi ku operate jackleg machine,washing face,,charging and blasting,fire fighting,re entry procedures,occupational health and safety,house keeping etc then unaomba kuingia stamico
labda sijasoma vizuri tangazo lao....kwahyo unategemea ushindane na mtu ambaye ni mwajiriwa wa barrick au GGM anaomba kazi stamico na wewe ambaye huna uzoefu kabisa! Ndoto za mchana,wenye uzoefu na kazi hizo ndo watakaopata
Uzoefu wa kazi za mgodini unao? Ushawahi ku operate jackleg machine?ceasar,kuchaji face,blasting,fire fighting n.k? Maana walisema uwe na uzoefu kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.