Natumai nitaeleweka kwenye maelezo kidogo nitakayoyatoa hapa chini.
Nina umri wa ujana bado, nimekumbana na visa vingi hadi naona vinanizidi umri wangu.
Nahitaji kupata mtu wa kunisaidia kuandika na kuanika hapa jf ili wengine wapate funzo katika maisha.
Mwandishi mahiri aje pm nitamsimulia...
1. Dr. Tulia Akson-wizara inayohushu Mambo ya katiba na Sheria.
2. Ally Kessy - Mbunge aliyetumikia bunge liliopita, anaweza kuwekwa Mbunge wa kuteuliwa.
3. Pascal Mayalla - kwa uandishi wake huenda akapewa wilaya Fulani.
4. Paul Makonda huenda akapewa mkoa tena (Arusha)
5. Lengai O. Sabaya...
Dunia Ina Mambo, hivi hawa jamaa wanamdanganya nani?
Tumeshuhudia Kila kitu tangu mwanzo kampeni zinaanza hadi hitimisho,
Tunafahamu kuwa mnao watu wanaokubalika na jamii katika baadhi ya kata na majimbo,
Tunafahamu pia kuwa uovu mmeupa kipaumbele mko tayari kumwaga damu ili mnenepeshe...
Kama wote tulivyoshuhudia tangu siku ya kwanza maandalizi ya zoezi la upigaji kura, hadi sasa kinachoendelea ni kituko ambacho hata dunia huenda imepigwa butwaa.
Mawakala wa upinzani kufanyiwa figisu ili wasiingie ndani vituo vya kupigia kura.
Kuandaa kura feki zilizopigwa kabisa nje ya vituo...
Wapo watakaotukana na kukebehi ila nimekuwa na swali hili kwa muda labda nilikosee kuliweka vizuri kwa kuwa najua sio mwandishi mzuri wa kuipamba habari.
Pamekuwepo na matangazo mengi mitandaoni hasa nitolee mfano hapa jf kuhusu kutafuta wachumba, nimewahi kwenda pm kwa wadada wengi lakini...
Mbaya zaidi ukishinda kiti kimojawapo kati ya hivyo walahi akili inakutoka..
Ukiwa na utimamu unajiliza maswali kama haya
1. Ukiwa mbunge/diwani unawatumikia wananchi wako kupitia tiketi ya chama flani (upinzani) huwezi kuunga mkono juhudi za rais na chama tawala?
2. Unamuungaje mkono rais...
Mwangele, mwabheja sana, mwangaluka, mwalindauli, damlauri?
Niingie moja kwa moja kwenye mada, nimekuwa mchangiaji was muda mrefu kwenye mada mbalimbali liakini leo kilichonisukuma kuandika ni kisa kifuatacho.
Kuna tangazo lilipita pale love connect, ila siwambii tangazo lilihusu nini najua...
Habari wakuu na hongera kuvuka mwaka.
Naombeni mnisaidie, ishu yenyewe ni kwamba e-mail yangu sijaingia muda mrefu na nilibadili namba ya simu niliyofungulia kwa hiyo niki-log in inasema nimekosea password.
Zikiwa zimebaki siku chache tuumalize mwaka 2016 na tuuanze mwaka mpya 2017 kuna mengi natajia kufanya ili kuinua kipato.
1. Biashara ya KUPAMBA MAARUSI/KUMBI, hapa sina experience kabisa hivyo nitapenda kupata ushauri namna ya kuianza, vifaa vya kuanza navyo na changamoto zake.
2. Kilimo cha...
Habari za wakati huu wanabodi,
Naamini kama ni mjumbe mmojawapo wa JamiiForums umenufaika kwa namna moja ama nyingine kupitia ukumbi huu.
Popote ulipo, na kwa dini yoyote uabudiyo na hata usiyekuwa na dini kukamatwa na kufungiwa lupango kwa mwanzilishi wa jukwaa hili kumetuathiri wengi kama...
Wadau habari
Kama kichwa cha habari kilivyo, nimeipenda hiyo gari iko Japan nimeona bei yao ni 4.1mil hivi hadi inafika hapa na kuisajili inapaswa niandae kiasi gani, halafu hata changamoto zake zikoje, natanguliza shukrani
Ni matumaini yangu kuwa wote muwazima hapa jukwaani, kinyume na hapo ni mipango ya Mungu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina long term plan nyingi kimaisha, lakini hili la kupanda miti nimelipa kipaumbele zaidi.
Plan yangu ni kununua hekari 2 za shamba kwa ajili ya kupanda miti mwaka...
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Bajeti yangu 5mil nahitaji gari tajwa hapo juu iwe kwenye hali nzuri, isiwe na mahitaji ya matengenezo yoyote.
Pm tujadili
Binti mwenye umri wa miaka 16 alifaulu kuingia form one mwaka jana 2015, aliishia njiani kulingana na mazingira aliyokuwa anaishi, amechukuliwa kufanya kazi za bartender mwaka huu lakini analia kila siku kupoteza malengo yake ya kusoma anaomba mtanzania mwenye kumsaidia ampeleke shule, kama...
Waungwana naomba kujua nitawezaje kutumia simu yangu Tecno kama modem kwenye pc window xp 2009?
Hapo awali nilikuwa natumia window 7 na simu ilikuwa ndiyo modem yangu, sasa juzi tar 24 nimepiga chini window 7 na kuweka xp nikiunga na USB haisomi zaidi ya kucharge please anajua haya mambo...
Habari zenu ndugu, nimekuja hapa jukwaani kuomba msaada mwenye ujuzi na blog
Mm nina blog inayokwenda kwa jina la FRONTPAGE, tatizo lake ni kwamba niliweka picha kwenye title ila haiko vema sana nataka kuitoa that is a problem mimi nimeshindwa.
nisaidieni
Wajameni habari za jioni! Kama kichwa cha habari Kinavyoeleza, nahitaji speaker tajwa hapo juu na hasa zenye ukubwa kuanzia watt 6000 no kwa ajili ya kukodisha.
Kama kuna mtu anazo anauza pm, na hata mwenye ushauri zipi ziko poa zaidi anakaribishwa. Nipo $umbWanga kikazi Ila zikiwa Dar usisite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.