Ninatafuta wafasiri wa lugha za Shona<>Kiingereza, Ndebele<>Kiingereza na Oromo<>Kiingereza, yaani kutoka na kwenda Kiingereza.
Ikiwa wewe unaelewa angalau moja ya lugha hizo na/au kama unamjua mtu anayezielewa kiasi cha kuweza kutafsiri, tafadhali wasiliana nami kwa maelezo zaidi. Ni mradi wa...
Ninatafuta wafasiri wa lugha za Shona<>Kiingereza, Ndebele<>Kiingereza na Oromo<>Kiingereza, yaani kutoka na kwenda Kiingereza.
Ikiwa wewe unaelewa angalau moja ya lugha hizo na/au kama unamjua mtu anayezielewa kiasi cha kuweza kutafsiri, tafadhali wasiliana nami kwa maelezo zaidi. Ni mradi wa...
Tajiri mmoja wa Hongkong ametangaza dau la dola milioni 64 kwa mwanamume atakayemuoa binti yake ambaye ni msa.gaji (lesbian) Utajitolea?
Kwa habari zaidi: Bonyeza kizenji hapa
Wadau,
Wanahitajika watu wanaozungumza kugha hizo kwa ajili ya mradi wa tafsiri.
Kama wewe ni mmoja wapo au unamjua mtu anayezungumz alugha hizo tafadhali Ni PM au nitumie ujumbe kwa kutumia barua pepe hii: farsiy@yahoo.co.uk.
Natanguliza shukurani za dhati.
Wadau, nimekutana habari kutoka The Guardian 22nd August:
Nimeona mambo matatu yanayonifanya niwe na wasiwasi na utendaji wa mahakama zetu:
Kuna ulazima gani wa kutembelea magerezani kesi? Kesi ziko magerazani au mahakamani? Au hakuna kumbukumbu za kesi zote kwenye mahakama husika? Huu ama ni...
Sumatra ilisema abiria walikuwa 288 (watu wazima 288+31+9 watoto na mabaharia)
Ikulu Zanzibar ilitaja abiria 290 (sijui wawili walitoka wapi)
Leo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa DSM imebandika majina ya watu 340 (ziada ya watu 50, 52)
Nani anasema ukweli?
Haya ndio yale yale yaliyotokea mwaka jana...
Bado Watanzania tuna kumbukumbu za MV Bukoba ambapo mamia ya Watanzania walifariki kwa mpigo.
Ikiwa hiyo ni ya mbali, mwaka jana Septemba 10 Watanzania zaidi ya 200 walikufa wakijiona.
Tarehe 13 Mei Mwaka huu injni za meli ya Sea Gul zilizima moto ikitokea Pemba kuelekea Unguja.
Na leo tena...
Baada ya kaka zao La Roja kutwaa ubingwa wa EURO2012, vijana wa chini ya miaka 19 wametwaa ubingwa wa mwaka huu dhidi ya wapinzani wao Greece.
Kwa habari zaidi, bonyeza HAPA
Huu ni ushindi wa 6 kwa wadogo ndani ya miaka 11.
Wakati huo huo, timu ya Spain inayojitayarisha kwa michuano ya...
Wadau, nimeona taarifa hii inayohusu onyo la hatari ya njaa inayonyemelea maeneo kadhaa ya Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa hii, ni kuwa serikali tayari imeshapewa taarifa (kwa mara nyengine tena, taarifa imetolewa na vyombo vya nje kwa sababu serikali "ilikuwa haina habari), kwa hivyo isisubiri...
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotumika sasa, kifungu kifuatacho kinasema:
Na kwa mujibu wa Katiba hiyo, kifungu kifuatacho kinasema:
Lakini kwa mujibu wa Katiba hiyo hiyo katika kifungu hiki:
Kutokana na kifungu hiki cha mwisho, Raisi anapewa uwezo wa kutengua...
Tumekuwa tukisikia mara kadhaa, Mh. Mbunge, hasa kutoka kambi ya upinzani, akitoa shutuma juu ya suala ambalo hata kama ni la kweli, lakini wamekuwa wakinyamazishwa kwa kutakiwa watoe uthibitisho wa kile wanachodai.
Sasa ikiwa mbunge amepeleka bungeni shutuma hizo kwa suala la kweli lakini...
Klabu ya Michezo ya JF imeanzishwa. Kwa sasa tunaandaa timu ya Mpira wa Miguu lakini baadaye michezo mengine kama Mpira wa Kikapu, Riadha, Baiskeli, Kuogelea...zitaanzishwa.Tayari wachezaji watatu mahiri wamejitokeza na wanasakata gozi si mchezo: Zinduna, Erotica na Smile.
Tunawapmba akina...
Kila kitu kilikuwa sawa, lakini tangu jana Laptop yangu imekataa kabisa kufungua videos za aina yoyote za Internet. Nimegusa pasipotakiwa au imekuwaje. Naomba msaada wenu wataalamu na wajuzi.
Natanguliza shukurani.
Kinywaji hiki pamoja na sifa nyengine kama vile kuongeza vitamini B na madini kama fosforasi magnesi na kalisi, pia kinazo anti-rusts zinazoifanya ngozi kupona haraka na hata kurudisha ujana. Pia anti-rusts hizi ni muhimu dhidi ya magonjwa ya moyo, kiasi kwamba wataalamu wa afya wanapendekeza...
Jamaa alikwenda hoteli ya kifahari akaagiza mlo wa kufa mtu (biriani, samaki wa kukaanga , saladi, mkate, mvinyo....).
Alipouliza bei akaambiwa ni Tzs. 89,000 +VAT
"Na saladi pekee bei gani? Akauliza.
"Saladi, mkate na mvinyo hivyo ni vya kusukumizia mlo tu, ni bure".
Jamaa akala saladi,mkate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.