Kwa kweli ni aibu, lakini tushukuru hakumbaka mtu. Ninashauri yeye na mke wake waende Retreat ili mapenzi yao ikolee tena, asiwe na haja ya kufanya vitendo vya kitoto kama hivyo ofisini.
Mbaya zaidi ilikuwa wanaokwenda kwenye hizo semina na mikutano nje hawakuwa na sifa za kwenda. Wengi ni marafiki na ndugu wa vigogo. Huko kwenye semina na mikutano kazi yao kupasha moto viti na kutoroka kwenda shopping. Kuchanga pointi za maana wanashindwa na ripoti wanshindwa kuandika. Bora...
Nimepokea kwa huzuni na masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Comrade Mchungaji Christopher Mtikila. Nimeona picha za ajali na mwili wa marehemu. Ninaamini kuwa ni ajali na hakuuwawa kwa vile dereva alikuwa anaendesha kwa mwendo kasi na Comrade hakufunga seatbelt. Naona alitupwa nje ya gari...
Nimesikitishwa na jinsi watanzania walivyo na majungu. Godfrey Rupia alivyofariki Tanzania kuna watu waliochafua sana Bupe Rupia ambaye alikuwa ni mke wake wa kwanza na mama wa watoto wake wawili. Watoto wa marehemu sasa wametoa maoni yao. Ukisoma utaona uchungu walionayo dhidi ya manjungu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.