Nimeiwaza hii kitu baada ya kukumbuka maneno ya Mheshimiwa, Mtukufu wetu wa zamani, aliyekuwa Raisi bwana B.W Mkapa ya kwamba Watanzania ni wajinga. Yaani nikawaza mimi, baba na mama, babu na bibi na watoto wangu ni wajinga! Kweli!?
Lakini kwa upande mwingine nikawaza kwamba ilimchukua Mandela...
Naomba kama kuna mwana jamii atanisaidia. Nina Computer HP M9150F for some reason haijionyeshi kwenye monitor, Computer ina miezi 5 na ilikuwa inafanya kazi ila aubuhi moja naiwasha inawaka lakini hai-display kitu chochote kwenye monitor na ninayo nyingine ya zamani lakini ina display kwenye the...
Naomba kuuliza hili swali? Ni nini chanzo cha U-Terrorist?
Kwa nini mambo hayo yanatokea?
Kwa nini watu wa West na wanaosapoti mambo ya West ndio Target?
Kwa nini inahusishwa na Uislam na wakati waislam wengi tunaishi nao kwa Amani?
Kwa nini Mandela alikuwa kwenye Terror watch List...
--------------------------------------------------------------------------------
(Mod's naomba muiache/muipe muda kabla ya kuichanganya na nyingine)
Nimeona niandike hii hapa inaweza kuwa njia ambayo itakuwa ni win win situation kati ya mafisadi (Wahujumu uchumi) na wananchi wa nchi...
nimeona CNN sasa hivi kwamba kuna multiple attacks ya ma-terrorist india na wana target Americans
Gunmen strike at series of targets popular with tourists and business people
Seventy-eight reported killed, almost 200 injured
Ongoing gunbattles reported at two hotels
CNN-IBN reports...
PARIS (AP) -- Inspired by Barack Obama, the French first lady and other leading figures say it's high time for France to stamp out racism and shake up a white political and social elite that smacks of colonial times.
A manifesto published Sunday - subtitled "Oui, nous pouvons!", the French...
Sarah Palin spent "tens of thousands" more than the quoted $150,000 on clothes for the Republican campaign, met McCain aides in her hotel room dressed in nothing but a towel, and did not know Africa was a continent, according to new reports.
Fox news has reported that Mrs Palin did not...
Nairobi, Nov 5 (DPA) Kenyans took to the streets early Wednesday morning to celebrate Barack Obamas election to the White House as the nations president declared a national holiday.In downtown Nairobi and in Kibera, one of Africas largest slums, people dressed in suits on their way to work...
Naomba kuuliza, hivi Zanzibar (Tanzania Visiwani) kuna viongozi wangapi? na ina watu wangapi jumla?. Kwa sababu nimeona watu wafananishe na Tanzania Bara (Tanganyika) na idadi ya watu, maana nilikuwa nataka kujua "ratio" ya watu na viongozi kati ya Tanzania Bara na visiwani? na Je ni wangapi...
Nimeangalia "Obama Revealed" tena kwenye CNN last weekend na kuona ni wapi Obama alikotoka na sasa hivi ndio hivyo anagombania Uraisi wa US kwa Ticket ya Democratic Party ambacho ni kitu cha kihistoria.
Nilikuwa naomba maoni ya wana jamii yaani waangalie katika Positive side ya ushindi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.