Search results

  1. N

    Nimwacheje huyu mama?

    Tatizo lipo kwa huyo kijana. Miaka 33 ni MTU mzima na anao uwezo wa kujisimamia. Anaonekana bado ni kijana kifikra na kimaamuzi ndio maana analia lia eti anaharibiwa. Huyo mama anamuharibiaje kwa watu ambao hawaishi karibu wala kufanya kazi pamoja?
  2. N

    Celebrities wa Tanzania wanasaidiaje jamii kipindi hiki cha janga la Corona?

    Mbona tunawaonea Viumbe hawa? Hivi Zaidi ya umaarufu wana uwekezaji gani wa maana unaowapatia fedha? Jana tuliwananga kwa kula hela za misiba, Leo tunataka wachangie, watatoa wapi?
  3. N

    Unaweza kudate na EX wa rafiki yako?

    Kiukweli sio jambo jema kurukia dada wa rafiki yako. Kiuhalisia nyie ni ndugu na mnasaidiana kwa hali na mali. Bora huyo rafiki aseme amebadiri gia angani ameamua kumuoa dada hapo inaingia akilini. Kama kaweza kwa sister akili ikimruka si ataenda kwa Bi Mkubwa. Mipaka ni muhimu.
  4. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Usimliaji wako unanikumbusha mbali sana, miaka ya 1970/80. Enzi hizo mastaa walikuwa wachache sana na MTU akiwa staa ni STAA wa ukweli. Ukimuona MTU kama Michael Jackson anahojiwa kwenye media unaona kabisa anajibu kwa madaha na huku huku akinata. Inakuwa kana kwamba media na hadhira...
  5. N

    Maisha: Changamoto za kuzaa nje ya ndoa

    Wakati unafikiria nini cha kufanya Mkatie mwanao Bima ya Afya. Pia anza kupima kina cha maji hapo nyumbani ili uone jinsi gani utamleta mwanao aje kukaa na wewe. Binafsi naamini wajibu wa mzazi ni kupandikiza kile anachoamini kitamsaidie mwanae kupitia malezi
  6. N

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Duuhhh Kazi kweli kweli. Binafsi nimebaini Sisi weusi (waafrika) hatutaweza kuendelea kwa haraka na kuufukuza umasikini. Kila anaepanga anasema alipanga ili ipate akili ya maisha. Haya mmepata akili ya maisha mbona umasikini ungali umetamalaki? Zamani katika baadhi ya jamii (mfano wasukuma)...
  7. N

    Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

    KOSA HUWA HALIHALALISHI KOSA. Kwa maana hiyo jamaa yupo sahihi. Alizaa nje sawa, na mtoto aliemzaa ni wake. Mwisho wa siku aliamua kuvuna alicho panda kwa kumleta mtoto wake kwake na si kwa mtu mwingine.
  8. N

    Dawa dhidi ya marafiki wabaya wa mke wangu imepatikana, jaribu na wewe huko

    Duuh kazi kweli kweli. Mume na mke wasipofanana ndoa itadumu vipi? Ndege wafananao huruka pamoja.
  9. N

    Kuna wakati forum hupinduka na kucheua

    Wakati wote, muda wote tambua upo sokoni. Katika kutenda na kunena ni vyema kuwa makini. Ni kweli "Mavi ya kale hayanuki" lakini kwa ulimwengu wa sasa yaweza nuka.
  10. N

    Bandari ya Dar es salaam yazidi kupokea meli kubwa duniani

    Kuna dhana hutumika katika masuala ya fedha. Dhana hiyo hufahamika kama "Input output ratio". Swali la kujiuliza je, nini manufaa ya kuja kwa meli hii kaw uchumi wetu na katika mnyororo wa thamani? Au ni mwendo wa vigeregere mithili ya juha kwa kila jambo linalofanyika katika awamu hii ya...
  11. N

    Wizi wa Bank ya CRDB Part II

    Hongera sana kaka, mfumo wa soko huria unalengo la kuchochea ushindani ili upatikane unafuu kwa wateja/walaji. Kwa kiasi kikubwa huduma za benki zetu nyingi hasa zile ambazo tunazimiliki wenyewe(watz) na kwenye menejimenti tupo wenyewe zinakuwa na uendeshaji wenye kukwaza wateja. Jambo la...
  12. N

    Vinasaba kwenye nywele, uhai wake na malighafi bora ya wachawi

    Ya walimwengu na ulimwengu. Waingereza husema ,"Don't say impossible even if it is impossible"
  13. N

    Ushauri wa bure: Usioe career woman!

    Naomba tukubaliane kutokukubaliana. Kila mmoja huwa ana ndoto zake au kuna aina ya maisha ambayo hupanga kuyaishi. Kila uchwao ni mapambano ya kufikia ndoto/maono uliyojipangia. Kuoa/kuolewa ni sawa na kuwekeza au kununua hisa kwenye soko la hisa. Kuna mengi ya kuyatafaki kabla ya kuchukua uamuzi.
  14. N

    Tupunguze na kutokomeza wimbi la kuachana na kuachika kwasababu ya viwango vya elimu zetu

    Haya bhana, ujumbe umefika. Na wale ndugu zetu wa ziwa magharibi ambao kwao dharau ni hulka yao utajuaje kama dharau ni ile ya asili au ndio kakugeuza kifokorokwinyo
  15. N

    Kina mama na kina dada situkeni huu sio wajibu wenu.

    U Kuweni na UTII,si vyema kila siku kuja kulia mbele ya jukwaa hili,"Nilimpenda lakini hakuonyesha kuthamini upendo niliompa". Kuweni watii watii mpaka mauti
  16. N

    Kina mama na kina dada situkeni huu sio wajibu wenu.

    Sijausemea moyo wa mtu, bali nimenukuu/nimekariri maneno ya kwenye vitabu vya MAPOKEO kisha nikatoa RAI
  17. N

    Kina mama na kina dada situkeni huu sio wajibu wenu.

    Mie Mimi ni Mwanaume mashine ndugu yangu. Ndio maana nimemalizia kwa kibwagizo cha ,"Moyo sukuma damu za mama na dada zetu..."
  18. N

    Kina mama na kina dada situkeni huu sio wajibu wenu.

    Kwenye vitabu vya mapokeo kina mama wamepewa wajibu wao kama ilivyo kwa kina baba. "Enyi wake WATIINI waume zenu, enyi waume wapendeni wake zenu". Kina mama wengi walio kwenye mahusiano yenye migogoro hulalamika kuwa wenza wao hawawapendi. Kina baba wengi wenye mahusiano tia maji tia maji...
Back
Top Bottom