Habari zenu wadau?
Nimeona nije na kauzi haka ili niweze kupambanua uelewa.
Ninachokijua na ambacho kinaandikwa kwenye machapisho mbalimbali ni kwamba Tanzania kuna makabila zaidi ya 120. Sasa ukisema zaidi ya, huwa haioneshi idadi halisi ya makabila hayo.
Naomba mwenye uelewa atujuze idadi...
MSAADA TUTANI
Hello folk!
I'm humble, asking for your legal help!
I may be ignorant of the right path of legal procedure in handling this case!
Mr X come to my shop one day and he asked for some goods for loan! Since he has been indebted to pay back the loan, the man changed his SIM line and...
Habari wana jukwaa?
Tafadhali, kama uzi unavyojieleza, naomba msaada mwenye syllabus ya kozi zifuatazo zinazotolewa na vyuo vya VETA hapa nchini.
1. English language
2. ICT
3. Enterpreneurship
4. Life skillls
PM itapendeza zaidi
Ahsante
habari zenu wakuu?
Naomba mawasiliano ya viongozi wafuatao wa serikali.
1. Katibu/Naibu katibu Mkuu/Waziri/Naibu waziri mwenye dhamana ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
2. Katibu/Naibu Katibu Mkuu/Waziri/Naibu Waziri mwenye dhamana-TAMISEMI
3. Katibu/Naibu Katibu Mkuu/Waziri/Naibu...
Hi folk!
Its my hope that your constitutions are all the way good and you are proceeding well building Tanzania.
I am a teacher, a pursuant and specialist of ICT and Geography subjects I hereby re-advertise that I am currently available to any teaching queries whether in secondary schools or...
Habari wakuu JF?
Bila shaka mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa taifa. Natoa rai kwa watakaopitia uzi huu kuwa natafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi. Si uungwana kukejeli, kukebehi, kudharau ama kuponda kwa namna yoyote.
…………………………………………………………
Natafuta kazi ya...
Heshima kwenu wakuu JF!
"Kwanza kabisa naomba niwatanabaishe wale wote watakaopitia uzi huu kuwa sio uungwana kukashifu, kukebehi, kudharau, au kuponda kwa namna yoyote ile. Nipo kutafuta kazi kwa wenye nafasi za kazi.
………………………………………………………………
Naomba jamani kwa mtanzania mwenye nafasi za kazi za...
hi folk
My name is ISSA OMARI ISSA. I am in Arusha. I humbly appear before you purposely for presenting my quest believing that my post will be/is read by education institutions/Colleges principals, heads of schools, and other education stakeholders. Since July, 2015, I tirelessly submitted a...
Hi jf!
I am ISSA. One of jf members. The heading above is my problem. I have been suffering with ulcers since 2012 but currently the problem seems to be chronic as I started to experiences some terrible signs for example faeces and bloody vomitting. Serious stomach aches that overdo at night...
Habari zenu wakuu JF!
Nimeombwa nitoe taarifa hii kutoka kwa mdau huyu kwa kuwa hana akaunti humu JF!
Anaitwa Jamila Seif, mkazi wa Arusha (U), ni mwalimu aliyebobea katika tasnia ya ualimu wa awali akiwa na elimu ya awali ngazi ya cheti na diploma. Ana uzoefu usiopungua miaka 2 katika...
Hi JF,
A teacher, specialist for English medium schools, holder of Diploma in Early Childhood Education is available!
0766867700
With any vacancy available for Early childhood education, in english medium schools, or else please contact me.
Nimelazmka kufungua uzi huu ili tupeane ufahamu na uzoefu ktk mas'ala ya HESLB loan allocation na Chuo.
Ndg. zangu FIRST YEARS suala la "disbursement" ya mkopo toka HESLB haliangalii "Chuo ulichochagulia" (nitatolea maelezo) isipokuwa inaangalia DEGREE PROGRAMMES uliyochaguliwa nayo, uhitaji...
Hi guyz?
A week ago, i had an ICT exam,
Of the difficult questions i had experienced, here is one of them...I NEED HELP from whoever familiar of it;-
"A Dell Pro 330 PC is rotating at 23.5 x 10(exponent 11) revolutions per minute". Calculate the following;-
(i) an average processor speed...
[B]hi! fellow GT!!
sometimes, somewhere people project their laughs to others only because they see with accordance to relative acceptable norms are beyond adherence...this may be true...BUT also sometimes may laughs at you with little know-how of what you are doing and all of its...
Habari wadau?
kwa wale wadau wa UDOM,
Pata simu aina ya TECNO 630 with all accesories,kama vile Headphone,USB kwa bei nafuuuu sana
40,000 Tshs kabla ya kwenda likizo wasiliana nami kupitia 0655889646 au 0763832689
Kwa majina naitwa ISSA O ISSA nina imani wapo niliosoma nao humu ndani na wapo tunaofahamiana kwa namna moja ama nyingine
Kimsingi lengo la kuanzisha thread ni kuomba msaada kwa wadau wote wa masuala ya elimu watakaoguswa!!
Mimi ni mwanafunzi niliyechaguliwa kujiunga na masomo chuo kikuu UDOM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.