Kama kichwa cha habari hapo juu. Kwanza niwapongeze hapo maabara kwa kuweka namba za simu yaani customer care au kwa kizungu call center. Ili mwenye malalamiko au maswali apate Majibu.
Sasa basi hapa ndio kuna tatizo. Hawa watu wa kupokea simu kutuona sisi wateja kama wahalifu au tunapoteza...
Nianze Kwa haraka haraka kuna daraja la Mfugale. Soko la Ndugai.. Shule ya Jokate huko kisarawe.. Shule ya Juma Homera huko Tunduru ... Hospital ya.... Mtaa wa.... Na wengineo wengi... inakuwaje wanajipa haya majina au huyo anayewapa anawapa kwa kigezo gani. Maana mfano Ole Sabaya angejipa mtaa...
Au wanataka mpaka Rais aseme. Hivi kuna faida gani kuvaa barakoa mjini au maofisini halafu unapanda mwendokasi au daladala zilizojaa abiria bila kuwa na hewa safi.
Mamlaka husika kwanini wasiruhusu vibali vya muda kwa gari binafsi kubeba abiria kama daladala kuepusha Msongamano wa watu kwenye...
Abiria wamejazana ubungo. Magari binafsi yapo tayari ubungo kupata vibali vya muda kama. Miaka yote ila wao LATRA wanasema hawana vidhibiti mwendo. Kifupi hawa watu hawakujipanga wakati inajulikana miaka yote issue ya December na shida ya usafiri. Lakini wao wako na magari yao binafsi kukamata...
Hivi hawa Latra kwanini wanakataa kutoa vibali vya muda kusafirisha abiria kwa ma. Bus yaliyokuwa yanasafirisha wanafunzi ikiwa shule zimefungwa . Kuna tatizo gani. Maana kwanza serikali utapata hela halal kwa watakaoomba hivyo vibali. Pia itaondoa usumbufu wa abiria hasa mida ya asubuhi na...
Marekebisho hayo yalifanywa na Mfalme wa saudia Mr Mohamed Salman.
Ili upate kibali cha kuoa mtoto aliye chini ya miaka 18 ni lazima upate kibali kutoka mahakama maalum na ijidhihirishe kuwa ndoa hiyo haitamuathiri au kumuumiza muolewa au muolewaji.
====
Saudi Arabia on Monday issued a de...
Nakumbuka kuna mwaka boss wa CNN mmarekani alisema Kenya siyo nchi salama kutembelea. Issue kubwa ilikuwa ni mambo ya ugaidi kipindi cha Al-Shabaab.Kwakweli huwezi kutegemea Wakenya waliungana wote nchi nzima wakavamia twitter ya yule jamaa na akaunti za mitandao yote ya CCN.
Wakamshambulia...
Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Lengo lilikuwa kuwakutanisha watu mbalimbali waliopoteana tokea primary school, secondary, mtaani hadi makazini ili kuchat, kufurahi na kubadilishana mawazo.
Lakini sasa ma group haya yamegeuka ni ya michango isiyoisha kama sio kila siku basi kila week. Wengine ni kweli na wengine ni usanii tu...
..Tukio hili limetokea nchini Kenya karibu na mpaka wa Tanzania . ingawa kwenye habari wameandika ni South Africa...
The men are heard shouting "Allahu Akbar" as giraffe is shot and falls to ground before using hunting knife on poor creature .
A sickening video has sparked outrage on social...
Hiyo inatokana yeye na mkewe kujenga nyumba za gharama. Luxury house thamani ya dola laki 4 kutoka katika hela za rushwa. Jaji kapitisha uamuzi ashtakiwe......
Federal prosecutors in Brazil have asked a judge to file corruption charges against former president Luiz Inacio Lula da Silva.
The...
Mojawapo ya nchi zilizoathirika sana ni Venezuela pamoja na upungufu wa bidhaa. Pia thamani ya hela imeshuka sana kupelekea Hata shirika la ndege Ujerumani kutangaza kuvunja safari za ndege nchini humo.
The German airline, Lufthansa, has announced that it will suspend flights to Venezuela from...
For all living in UAE:
Yesterday there was a law passed in UAE that if any one Writes or forwards any msg on any social networking (wats app, Facebook, Twitter) about any religion by defaming them or their belief's or is involved in any kind of any harsh religious comments which can hurt any...
German town has banned male asylum seekers from a public swimming pool after women complained of harassment.
A government official in Bornheim said men from a nearby asylum shelter would be barred until they "got the message" that such behaviour was not acceptable.
It follows outrage over...
Whatsapp yangu imegoma kufanyakazi . Nikijaribu kuifungua inaniletea ujumbe huu your phone number is no longer allowed to use our service. Anayefahamu zaidi tafadhari
Nimefikiria tu ni kiasi gani watanzania wanapoteza kila siku kwenye unywaji wa pombe . Na madhara kiasi gani wanayoyapata baada ya kunywa pombe naamanisha kiuchumi na kiafya . Watu wanapoteza hela nyingi kwenye ma bar . Pombe haina faida yeyote mwilini mwa binadamu. Vipo vinywaji vingi vya...
A Malaysia Airlines passenger jet crashed in a rebel-controlled part of eastern Ukraine on Thursday, spurring swift accusations from Ukrainian officials that "terrorists" shot down the aircraft.
The United States has concluded a missile shot down the plane, but hasn't pinpointed who was...
Baada ya utata mwingi wa kusambaa ni vipi vita imeishaje huku hakuna gaidi alikamatwa katika vita ya siku nne . Hatimaye imefichuka kuwa sumu imetumika kumaliza utata......
The militant group behind the four-day takeover of a Nairobi mall claimed Wednesday that Kenyan government forces used...
Hivi huo ni ustaarabu kuanika namba za simu hadharani. Navyojua mimi namba za simu ni issue binafsi. Hii ni aina gani ya siasa . Au ni ushamba . Alianza na namba ya mheshimiwa spika. Sasa ametoa namba ya JANUARY Makamba . Nia yake hawa watu wasumbuliwe au watukanwe Hivi hakuna sheria ya kumshtaki.
Watu wa Dar hawana ushamba kama wa Arusha. Watu wa Dar huwezi kuwadanganya kijinga jinga au kuwafanya ngazi. Wana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchuja kujua ukweli na uongo. Hayo maandamano , mabomu,uongo,vurugu etc yataishia huko huko Arusha. Watu wa Dar wanajua maisha na wanapenda amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.