Hi wakuu,
Tafadhali ninaomba mdau mwenye software ambayo inaitwa CHIEF ARCHTECT ili niweze itumia. Actually aniweza kunipa copy ambayo iko registered. Malipo ni mazungumzo.
aliyenayo awasiliane nami kwa lijonjo@hotmail.com
Have nice days to all
Hey wakuuu,
Kuna mahali pa biashara panatolewa kwa mtu pakiwa na kila kitu, Computers 11 zikiwa zinafanya kazi na zina network na zina wasiliana, na kuna simu za ndani ina reception, General office, Pool Place, Utility place na three cubics for the net PCs.
Ofisi ipo Lindi Mjini...
Hey wana jamvini mwenye taarifa hizi atujulishe vema ni kweli?
Na kama ni kweli itakuwa tunaelekea wapi hasa?
Tafadhalini tuliangalie kwa ufasaha kama ni kweli
Mie natumia nokia E71 its ok, but kuna jamaa yangu ana nokia 3110 inagoma kupata setings na amewapigia sana na wanatuma setings lakini model hii haipokei.
Tumejaribu kwa Zain na Voda inapokea vizuri but Tigo haitaki so please can someone help on that?
Kwa kweli sidhanii hata kama hii itaendelezwa hata kama ikiwa na maana, maana sio utamaduni wa watu wetu kushulikia reseach. Watakula pesa za walala hoi then jii. jiulize mradi wa kuyaangamiza magugu maji kwa wadudu umefikia wapi? Na wadudu wapo wengi mno na watu walirushwa nje kama wehu, fund...
Nadhani Mh. Pinda kawapa sawasawa kabisa, kwani kuna baadhi ya wabunge na wajumbe wa wawakilishi wanakuwa kama hawana vision ya mbali juu ya Muungano. Maana mataifa makubwa yanajaribu kutafiuta mbinu ya kuweka nguvu pamoja but huku watu wanatafuta kuvunja hata kadogo kalikopo.
Issue ni kutafuta...
Mimi nadhani issue kubwa hapo ni akina nani walio wazalendo zaidi. Mimi nadahania pia uongozi ni karama ila imefanywa kuwa ni biashara na hasa vile vigezo halisi vya uongoziu bora ni vipi vilipoanza kutipangilwa.
Hey washkaji tuwe makini na kujibu kwetu hapa jamvini,
Issue ni kuwa haya mabenk kwanza wale wahusika na maamuzi ya mikopo hawako na moyo wakutrust, na wameiweka mbele risk ya mkopaji kuwa hana uwezo wa kulipa.
So kutokana na hilo wanakuwa na Negativity ktk swala lako lote na hata ushauri...
Hebu imwage vema,
Kwani tuna ndugu na jamaa zetu. Tujulishe wanajiandikisha wapi?
deadlini ni lini. Au hiyo source ni website au gazeti?
But it cool to have this info....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.