Search results

  1. Kiduduye

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Tuna kikosi kizur sana ukiangalia 90% ya wachezaji ni wapya isipokuwa Boxer na Yondani kwa Wachezaji wa 1st 11. Bado kuna muda wa kurekebisha makosa katika mechi zinazokuja, ondoeni hofu Mabaharia baharia huwa hakat tamaa.
  2. Kiduduye

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Upo sahihi yani timu haina world class players, yani ukimtoa De Gea hakuna mchezaji mwingne anayepata namba man city au barca au madrid. Wachezaj wa kawaida sana alafu Mourinho sio type ya wachezaji hao Mou anataka wachezaji ambao tayar wamekwiva yy ndo anawatumia kwa muda Mfupi. Kikosi hiki...
  3. Kiduduye

    Heshima kwenu Madrid!!

    Kweli alipokuja yeye basi utawala wa Barca ukapungua
  4. Kiduduye

    Heshima kwenu Madrid!!

    Maisha siku zote huwa yanakwenda kwa kasi mnooo, mara baada ya Madrid kuchukua ubingwa 2002 Walistruggle sana kuhakikisha wanarejesha makali yao ambayo tulizoea kuyaona baada ya pale msimu uliofuata 2003 walijitahidi wakachukua La Liga kwenye siku ya mwsho baada ya viongoz wa ligi kwa kipind...
  5. Kiduduye

    Jayson Tatum

    Hahahah hahaha
  6. Kiduduye

    Jayson Tatum

    Jayson Tatum muda sio mrefu Dunia itamtambua huyu Bwana Mdogo wa Celtics. Dodgo ana 21 na alikuwa wa tatu kwenye draft ya msimu wa 2017/2018 lkn anavyowasumbua kina JR Smith na Tristan ni shida, mimi namtabiria makubwa sana dogo huenda akafika level za kina Carl Marone, Bill Russell, Michael...
  7. Kiduduye

    Mnyama afa kiume

    kufa ni kufa tu hakuna kufa kiume wala kike, pelekeni rambirambi ya mafisango
  8. Kiduduye

    Hatuna viongozi wa soka bongo

    Hapo ndo mtakapojua kuwa soka la bongo la majungu, kukomoana, fitina na chuki. Hivi mtu na akili yako kweli unadiriki kufanya ujinga kama huu aliofanyiwa Ngasa? hilo suala dunia nzima hakuna lipo tz tu, na kwa hali hii soka letu halitasogea milele. Mtu kama Geofrey kaburu mtu mwenye heshima zake...
  9. Kiduduye

    CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

    Hatimaye yanga wameingia fainali nyingine ya kagame kwa mara ya 2 mfululizo na safari uso kwa uso na wababe wao azam fc je azam wataendeleza ubabe kwa kwa timu ya wananchi au wananchi watafuta uteja? hii ni mara ya 2 kwa timu ngeni kuingia fainali ya michuano hii kama mnakumbuka mwaka 2005 timu...
  10. Kiduduye

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Unaweza ukaona kuwa ni mzaha kumbe hili suala simba walilichukulia kama serious kwa kiasi fulani. Baada ya TFF kumuidhinisha Kelvin Yondani kuitumikia Yanga kwenye michuano ya kagame simba wakaibuka sana wakisema TFF wanawaonea sana na kudiriki kusema kwamba wanawapendelea sana Yanga, mimi...
Back
Top Bottom