Ndugu yangu kuongezea uliyoyasema ambayo nakubaliana nayo - lazima watu watambue huduma mbalimbali ambazo Mungu ameweka katika kila mmoja wetu! Bukuku kwasehemu yake anafanya la kwake hasa nyimbo za kuabudu na kweli watu wanabarikiwa, anaweza kuwa na mapungufu ya kwake kama Rose pia lakini si...
Kwakweli- u have touched me! Huyu mwanamke is unique kwa sasa, wakina Upendo Nkone na Kilahiro wako vizuri lakini Shushu she is coming up very well! Just a top up to what u have said!
Kiranga lazima uelewe sitetei ufisadi hasirani, lakini haitoshi tu kumhukumu huyu mama kwa kupeleka sehemu ya miradi huko Muleba! Ulitaka apeleke Nachingwea - lakini yote si Tanzania? We tatizo lako liko wapi?
I would love to see you exhausting on other issues rather than this? Ama labda sijui...
Jamani watanzania wacha tuache unafiki, we always have something to comment! Hivi ni nani ambaye angepata hii nafasi akashindwa walau kutengeneza nafasi ama kusaidia watu wake.
Naamini kabisa kama huyu mama asingefanya haya leo hii mngemtukana sana na hata kumtemea mate.
I believe she might...
Baba Gwakisa, naweza sema sifahamu sana habari za namna ya hizi shule kuendeshwa lakini nimepata kusikia habari miaka fulani nyuma nikiwa na watu wanaofanya pale na wengine wa ndani kidogo!
Kuna wakati nadhani alirudisha watoto kwao kwasababu baada ya kuchunguza ikagundulika sio yatima kweli...
Binafsi nimefurahiswa na u moyo wa kutoa ambao umejionyesha lakini pia hili liwe somo kwa viongozi wetu wa Afrika na waafrika wote!
Kama tungeweza kuzalisha vya kutosha katika nchi zetu hizi na kuwa na surplus, kutumia vizuri resources zetu hakika tusingekuwa na tashwishi ya kusaidia maendeleo...
Kigoma North MP, Zitto Kabwe, yesterday named the Minister for Home Affairs, Lawrence Masha, as the one who presented the proposal on how to ruin the business muscle of IPP`s Executive Chairman, Mr Reginald Mengi, at a high ranking meeting involving a number of senior cabinet ministers...
Pundit i like your comments sometimes but i'm worried if often communicate - plz just learn to use alittle more simple english!
Mawazo yangu tu lakini mkuu, heshima yako!
Guys i think this is quite right, kwakweli ni aibu mno kuona viwanja vya ndege vingi ulimwenguni kwa sasa vikiwa vya kisasa zaidi, kuanzia na ASIA,America,Europe na mwishowe ni huku kwetu!
Kwa afrika ya mashariki, Entebbe waliufanyia marekebisho wa kwao na kujenga termina nyingine mpya ambayo...
It doesn't bring sense, such little money will never scare anyone! Fisadi mmoja anaweza kuwa na more than that in the account! Hawezi jali hata mara moja hako ka fedha kakiwa frozen! Kweli jamani - logically hiyo fedha out of 31mil si kitu ati!
Mkamap,
Trust me, nimekuwa nikifikiri sometimes the same - ukianza kuangalia benefits zote walizo nazo viongozi wa Tanzania kwamfano kwa ngazi ya Raisi, makamu na waziri mkuu! Haingii alkilini kuona mtu bado anakurupuka kukwapua hata kidogo ambacho yamkini kingemsaidia kusomesha watoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.