Yaani mtoa mada atakuwa na utando mzito kwenye ubongo.Mtanzania au Mbunge sasa asihoji maamuzi ya serikali yetu aidha atakuwa katumwa na mabeberu au ni mdini.....?
Kwa hio akiwa day kina mwl.ayub ndio hawawezi kufanya ushenzi wao?.Kumbuka muda mwingi watoto wetu huwa na walimu wao (shuleni) kuliko wanaokuwa nao na sisi wazazi wao.Jambo kama hili limefikia mpaka hatua hio ni kwa uzembe mkubwa shuleni na sisi wazazi.Huyo mwalimu hakuanza na kufanya yote hayo...
Tulioongea ni sisi mnaodai tunahongwa na mabeberu tuitukanishe nchi,lakini ajabu mnajua shutuma zake na bado mpo nae ingawa mara kadhaa aliomba ajiuzuru na mkawa mnamgomea,leo ujangili unashamiri?vivyo hivyo kwa lowassa wa CCM alisemwa fisadi na miaka alikuwa kwenu ajabu alivyotoka ndio agenda...
Mmekuwa watu wa ajabu sana na chama chenu,mpaka mtu atoke au ajiengue kwenye cheo ndio mnaanza kumjadili maovu yake?ndio hapo mnatuaminisha kweli hicho ni kijiwe cha majambazi
Cessare hakuwahi kuwa shoga alikuwa mbabe wa kutupwa,aliwahi kuua mpaka kamanda wake wa jeshi kwa kushiriki ushoga.Cessare alimpa mimba dada yake wa kuzaliwa Lucrecia.Cessare picha yake ndio inayotumika kama taswira ya yesu.
Chuo chetu kipo karibu na soko maarufu dar es salaam kama "Mahakama ya ndizi" hence huo unaoita uchafu....Majengo chakavu ni serekali ya mkuu baba kiongoziz wa malaika kuweka nguvu nyingi kwenye bombadia na chato international airport na kusahau elimu,Elimu bora inapatikana hapa amini....au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.