Ninafikiri hakuna asiyefahamu kuhusu ALLIANCE IN MOTION GLOBAL, Basi hizo picha hapo chini moja wapo inayomuonyesha Donald Trump akiwa ameshika hilo bango linaloonyesha Food Supplementary za Kampuni hiyo (Nilitumiwa na Rafiki anayejishughulisha ba biashara hiyo akiwa katika kunishawishi). Kwa...
Habari zenu wakuu!?..
________________________
Uzi huu ni maalumu kwa wale ambao walikuwa wanatumia Unofficial Whatsapp kama GBWhatsapp,YoWhatsapp,FMWhatsapp n.k kisha wakajikuta wanakula (BAN) bila kutegemea wala kutarajia.
Nitakupa ujuzi nini chakufanya kulingana na uzoefu wa matatizo ya...
Sijui ni nani aliyeanzisha hii siku ya kipumbavu ya wapumbavu?,Kila kitu unaweza kuona ni upumbavu tu,uongo tu.Hata ukiletewa taarifa za mkeo anakucheat jua ni uongo tu,ni upumbavu tu.Ni siku ya kuwa makini ikiwezekana zima simu halafu jifungie ndani(Ushauri wa bure) ili usimkie mtu wala...
Nimeshuhudia mara kadhaa baadhi ya watu wakizinunua hizi shilingi,Huwa hawaelezi kuwa wanazifanyia kazi gani.Sasa wadau ninaomba tusaidiane kung'amua hizi shilingi zina siri gani???.
Kuna mtu nilimuachia,Nilipoichukua kutoka kwake ikaanza kunidai Privancy Protection Password.Nikaona sio ishu sana kuepusha shari niende kuiflash tu maana kila tarakimu niliyojaribu kuingiza ilikataa.Sasa nimeiflash ila tatizo lipo palepale,Kwa ambae anafahamu universal Password za ku-unlock...
Sio mtaalamu wa masuala ya misitu ila kwakuwa ninautimamu wa akili ninaweza nikagundua vitu mbalimbali katika mazingira ninayoishi,mfano ni huo mti hapo.
Huo mti upo maeneo ambayo ninapita pindi ninapoelekea katika shughuli zangu za kila siku sio mbali sana na nyumbani ninapoishi.
Mara nyingi...
Jamaa mmoja bana alikuwa anafukuzia demu kitaani bila mafanikio,kila akimvizia demu anabana hataki kusikia la mnadi sala wala sauti za kanisa.
siku moja jamaa ikabidi atimbe hukohuko kwa demu anakoishi na kumkuta demu anafua viwalo vyake vya ndani yaani chupi,na mazungumzo yakaya hivi:-...
Ni kati ya mademu wawili na kila mmoja anatabia yake,na mbali na hao niliwahi kuwa nao zaidi ya hao wa3 ila kupitia mchujo wangu hiyo ndiyo top2 yangu!,...
Sifa zao ziko hivi;-
1-anadeka halafu 24h/week anataka akipiga tu akupate na umpigie muongee tu hata kama hamna la maana la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.