Yani wanaojibu umri umeenda,umechelewa sana,eti una watoto...na kumkatisha tamaa dada wa watu ndo wa kwanza kwenda pm kimya kimya ili wapate pa kujiweka
Habari zenu......nina nywele fupi na nimekua nikitumia dawa ya weave na mafuta ya gel kwa mda sasa ila naona bado nywele haijakua vile navyotaka.......
kwa hiyo naomba mnipe maujanja ya dawa nyingine kwa nywele fupi na mafuta yake ambayo inafanya kazi vizuri zaid ya weave.....ahsante
Sent...
Ukweli halisi wa nertwork marketing kwa wale walioanza wamefanikiwa kupitia hawa wengine waliowaingiza kazi kubwa inakua pale utampata nani umuingize kwenye mnyororo uifyonze ela yake........kutokana na hali ya sasa ya kiuchumi kwenye mifuko ya watu sio rahis kumpata mtu akubali kuingia kwenye...
Niwaibie kasiri wakaka tatizo kila siku mnaanza kuwaomba nyie,tengeneza mazingira aombe yeye mwenyewe alaf uone kama atakuomba na kueleza ayo matatizo yake mengi. Mnavyoomba kila mara wakati mwenzako ajajiandaa kichwani inakua Kama one sided ivii kwaio kwaio the only way out lazima aelezee shida...
What a shame. Why do you keep dating girls!!!!if you don't real want those stresses then date a WOMAN not just a girl, there is a big difference there,sadly u forgot about broke MEN'S What a pain in the a**
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkiwa ndani ya ndoa lazima utacompromise....inaeleweka kila mtu amezaliwa na baba na mama yake kwaio ni wazi kuna makuzi na malezi ambayo kila mtu ameyapata......sio rahisi mda wote kitu kifanyike unavyotaka na unavyofikiria wewe bali kuangalia kipi ni sahihi kufanya kwa mda huo....ukitaka upate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.