Kama wamefanya hivyo jamani wanaharakati embu mnusuruni huyo binti apate haki zake, maana wamemdhalilisha kwa udhaifu wake. Hizi media nyingine nazo zinabidi ziwe zinafanyika semina za kuwakumbusha hasa hawa wenye talk shows.
Mbona last week wanawake live waliweka clip ya mtoto na wakamficha...
Najua wote tunamfahamu vilivyo na zaidi huyu mtu amekusababishia mabadiliko fulani katika maisha yako, yanaweza kuwa Chanya au hasi. Ningependa kila mmoja anitajie mazuri mawili ya JK na mabaya mawili ya JK.
Natanguliza kuomba ushirikiano na kukutaarifu ya kwamba sitaishia kwake bali...
Nafikiri ndivyo maana kabla ilikuwa nayo sasa katika kuedit bila kujua nafanya nini zaidi ya kutafuta muonekano mzuri wa macho yangu. Ngoja nilifanyie kazi kidogo, nakuhusu nimefungulia wapi ni hapa Tanzania na ni joofree@blogspot.com
Naombeni msaada wenu, nimefungua Blog yangu inayohusu maswala ya elimu na biashara. Swali langu ni jinsi ya kitufe cha komenti wakati mtumiaji anatumia simu, nimejaribu nikakuta inanionyesha pale kwenye kuchagua kati ya anony au zile option nyingine zinajificha na huwezi publish email bila ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.