Udini upo kwako!na hayo ni matatizo yako bt the idea presented by CDM ni nzuri! Cha muhimu kuendeleza nchi yetu sio kila kukicha watu wanakimbilia Dar tu na sehemu zengine ziwe na uwezo wakuvutia watu kuishi na kupata huduma sawa na si kujazana Dar tu!
Alikua anajipanga cha kuleta kwenye huu ulimwengu wa soko huria. Hata ww unaweza kuanzisha cha kwako! Sio lazima ununue...tafuta utakachokua na uwezo wa kununua. Kumbuka vizuri gharama
nimependa sana comment zako..kuna ''post" zengine hadi kero kusoma kutokana na makosa ya matamshi yanayohamia hadi kwenye maandishi!.... ni lugha yetu namba 1 basi tujitahidi jamani
hii nchi kizungu mkuti jmn...tutajuaje kama ndo mbinu yakutaka kuzima kilichotokea iringa,na kuconcetrate kwa hili???...usanii tu.am tired n sick of ths country
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.