Kuanzia tarehe mosi Septemba mwaka huu NHIF walisimamisha usajili mpya wa bima ya afya kwa watu binafsi, na vilevile kusimamisha kulipia, kwa wale ambao bima zao zimekwisha muda, hadi hapo watakapotoa utaratibu mpya.
Suali kwa NHIF: Watu ambao wameshindwa kulipia kwa sababu ya "zuio" la NHIF...
Kama Che-N'kapa alisema kuwa Vincent siyo mwanafamilia ya Julius Nyerere alimaanisha familia ipi? Nucleus family ya Kambarage (yaani Mama Maria na watoto wake) au extended family ya Kambarage, ambayo inahusisha watoto wa siblings wake, kama Josephat na Joseph na wale wa wake wengine wa Chifu...
Kati ya Julius Kambarage Nyerere, Joseph Kizurira Nyerere na Josephat Kiboko Nyerere, nani baba yake Vincent Nyerere. Au wote kwa mpigo:thinking:[/FONT][/COLOR]
Kwa hiyo ndio maana madaktari wamegoma... kutokana na maoni ya wasomaji wa The Guardian UK, ambao, by the way, wanaweza kuwa ni watanzania waliopo bongo! Unachohitaji ku-register kwenye tovuti na kuandika unachopenda, regardless of where you are!
Madai ya msingi ya madaktari ni halali kabisaa.
Ukosefu wa vitendea kazi
Mazingira magumu ya kazi (na ya kujifunza - kwa Ma-Interns)
Mishahara/posho ndogo
Tatizo la madaktari waliopo mafunzoni kutolipwa posho zao lilikuwa uzembe wa watendaji wakuu wa wizara ya afya, ambao tayari...
Baada ya hawa wawili kuondolewa (kama wataondolewa) jamaa watadai Pinda na Kikwete pia waondoke! Kama madai ya msingi ni mishahara/posho, vitendea kazi pamoja na mazingira mazuri ya kufanyia kazi, suala la viongozi wa kisiasa kuondolewa linakujaje, ikitiliwa maanani kuwa watendaji, Katibu Mkuu...
Mkuu William,
Poleni na mambo haya. Kama ni kweli kuwa Peter anasingiziwa basi tumwombee ili aepushwe na matatizo ya kupakaziwa. Labda ungemuuliza kwa nini amefunga akaunti yake ya www.hi5.com [hii hapa] kama alivyojieleza kwenye website [hii hapa]. Je, Peter ni raia wa Tanzania au Uingereza au...
MwanaHALISI angesaidia sana wasomaji wake kama angetoa "Job Description" ya Medical Attache kwa sababu watu waliotajwa katika habari hii ni madaktari, japo kwa viwango tofauti.
Huyu Dr. Chale ninahisi atakuwa ni Dr. Stella Chale ambaye ni daktari bingwa pale Muhimbili upande wa Internal...
The cellphone cannot receive analog, DVB-S or DVB-T signals (S=satellite, T=Terrestrial).
DVB-H (Digital Video Broadcasting - Handheld) transmission is a prerequisite for cellphones with DVB-H receiving capabilities to receive TV signals. The TV station has to transmit in DVB-H format for your...
Nampongeza Dr. Slaa kwa uamuzi wa busara aliofanya, na ninamuombea mafanikio katika kuhakikisha kuwa malipo ya wabunge yanakuwa fair na siyo kuwanyonya wananchi. Hata hivyo nina masuali machache:
Dr. Slaa mwenyewe amekuwa mbunge (na hivyo kupokea marupurupu hayo) tangu mwaka 1995. Yaani baada...
I never knew the presenter at personal level but through ITV she became part of the regular faces in our living room.
Our prayers and thoughts are with the bereaved family. May God console you during this hard time. Amen
Soul singer Isaac Hayes, 65, is dead
THE ASSOCIATED PRESS
Updated Sunday, August 10th 2008, 3:44 PM
Pereira/WireImage Isaac Hayes performs during the 30th Celebrate Brooklyn Summer Season on June 12, 2008 at the bandshell in Prospect Park.
A family member found Hayes unresponsive near a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.