Hapa kuna shida, what you a calling undisputed scientific evidence which are results ya test zilizofanywa na lab iliyotumiwa na serikali hazifanani na results za tests zilizofanywa na ACACIA from more than one international accredited labs! au ndio janja yao?
ON 2012 GNT the government have another chance to renegotiate afresh, With the owner of PAN AFRICA at Lupango for Escrow scandals I don't think his current situations will allow him to make any conditions! The government should kill two birds by one stone. Hatuna haja ya kumwangalia huyu mtu...
Una hakika mkuu unachokisema? isije kuwa kama yale ya haki ya Zanzibar inakuja wakati ukweli utabaki kuwa uchaguzi ndio umekwisha hivyo tusubiri 2020, labda tujadili kama haki na sheria vinaendana kwani saa nyingine vipo opposite kabisa!
Kuchaguliwa tena? sijui kama itakuwa rahisi kwani CCM sio Ile ya 2015 sasa hivi watashinda hata kwa nguvu yaani ni ubabe usipime. Maalim Ana option moja ampigie magoti lipumba akubali amezidiwa kete yaishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sukari hapa geita ampapo ni pembezoni sukari inauzwa 125,000 Kwa mfuko wa 50kg rejareja 2700 hiyo bei ya 4000 ni ya wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
The Malawi first President kamuzu Banda once advised Nyerere "Malawi and Tanzania should annex Mozambique" so don't surprised when next they call it lake Blantire!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema mkuu mengi aliimunga mkono mmasai? Then it is a matter of time yatamkuta tu. Not at that extent!
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Ingekuwa rahisi hivyo ingependeza lakini waswahili wamesema 'mafahali wawili hawakai zizi moja' unafikiri Maalim ataiweza Demokrasia? yeye na Lipumba wanafanana tu kwao demokrasia ni wao wawe viongozi wa kudumu! labda apewe uenyekiti wa chadema
Nafikiri tumechelewa, Resolute, Buzwagi na Tulawaka dhahabu imeisha yamebaki mashimo mbaya zaidi hata kufukia hawakufukia, iliyobaki imebakiza miaka kidogo tu lakini bora tuanze sasa kuliko kuwaachia tu. nafikiri sasa tunaanza kumuelewa mh Raisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.