Search results

  1. D

    Warioba atetea mchakato wa katiba, akana tuhuma zilizotolewa na Jukwaa la Katiba

    Sasa kama wanataratibu walizojiwekea wao wenyewe, hii katiba wanayo iandaa itakuwa ya wananchi au itakuwa yao kwa taratibu zao na matakwa yao. Nisaidieni ama sijamuelewa vizuri.
  2. D

    Kwanini Mukama alipigwa chini ukatibu mkuu CCM?

    Mwenyekiti yuko unaweza kumuuliza swali hili.
  3. D

    Kwanini Mukama alipigwa chini ukatibu mkuu CCM?

    Mwenyekiti hakupendekeza jina lake basi.
  4. D

    EXCLUSIVE Interview with Zitto Zuberi Kabwe at Jamii Forums [Coming Soon]

    Swali la dogo la nyongeza kwa mh zzk, Je utaratibu wa sasa wa bunge la jmt wa kupiga kura kwa kuuliza wanao sema ndio na wanao sema hapana ni sawa na unakidhi matwaka ya kidemokrasia. Nini maoni yake, uendelee au ubadilishwe na kuboreshwa ili kuongeza imani ya bunge kwa wananchi?
  5. D

    EXCLUSIVE Interview with Zitto Zuberi Kabwe at Jamii Forums [Coming Soon]

    Maswali yangu kwa mh zzk. 1. Kazi ya utabiri alianza lini? kwani majina karibu yote aliyopendekeza kuwa wajumbe wa kukusanya maoni ya katiba mpya yalichaguluwa na rais. 2.Anatabiri vipi kuhusu umri wa mgombea urais kwenye katiba mpya. Je utapunguzwa ili kumaccomodate au la?
  6. D

    Naibu Waziri January Makamba anatembelea Bajaj

    Kumbe bajaji nazo zina autopilot mwenye kiti, sikulijua hilo.
  7. D

    Je, Sekretarieti ya CCM ina sura ya utaifa wetu tulioachiwa na Mwl Julius Nyerere?

    Umeonae ukweli unavyo uma. Siishangai hiyo reaction yako, ila wewe na chama chako ndio uzao wa nyoka, hata kauli za viongozi wenu, tangu kujivua gamba mpaka nyoka wa ndimi mbili, Chama cha uzao wa nyoka. Hebu nitajie majina ya wenyeviti wa jumuia za chama chenu, halafu tutaendelea.
  8. D

    Je, Sekretarieti ya CCM ina sura ya utaifa wetu tulioachiwa na Mwl Julius Nyerere?

    Mimi naona sura za udini na ufisadi ndio zimetawala.
  9. D

    Sherehe za kupongezana CCM - Mnazi Mmoja, Dar

    Asante mkuu kwa taarifa, ngoja ni nunue ndizi mbivu kabisa niweke mfukoni kabla sijaingia hapo uwanjani tayari kwa shughuli.
  10. D

    Kinana acharuka: Adai kampuni ni yake lakini meno ya Tembo si yake!

    Kwa nini isiwe kampuni nyingine? Kampuni inayo milikiwa na msomali imehusishwa na kusafirisha meno ya tembo. Kumbuka wasomali ni kati ya wahusika wakuu wa biashara hii ya ujangili nchini.
  11. D

    Ujenzi wa Miradi hii Bagamoyo ni wa Lazima Kiasi Hiki?

    Mkuu umesema vizuri sana hapo kwenye nyekundu ila muda sio rafiki tena, miaka 3 ni muda kiduchu sana. kumbuka miaka 7 imeshakatika.
  12. D

    Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

    Hapo kwenye red, mh Stephen ndiye anastahili jina hili, tumemuona mara nyingi bungeni akiwa anasinzia.
  13. D

    MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema) anapatiwa matibabu nchini Uingereza

    Kuweni wazi basi, matibabu yake yana gharamiwa na nani? Ofisi ya bunge kuwa na taarifa na kugharamia matibabu ni vitu viwili tofauti kabisa.
  14. D

    Tufanye ulinganifu wa Uzinduzi wa treni ya mjini Nairobi na ile ya Mwakyembe Dar. Je, tutawafikia?

    Kabla ya kufanya huo ulinganifu naomba unisaidie kujua, hivi kenya shirika lao la reli walilibinafsisha kwa magambacholi kama hili la kwetu?
  15. D

    Kifanyike Kitu Gani Kuzuia Utitiri wa Vyama Vya Siasa Nchini

    Hebu fikiri ndugu yangu analetwa mgombea wa chama msimu kavaa gwanda kama la mgombea wa chama tishio kwa chama tawala. Hii yote inafanyika kuwachangaya wapiga kura tena wahuko vijijini, kazi kwelikweli.
  16. D

    Kifanyike Kitu Gani Kuzuia Utitiri wa Vyama Vya Siasa Nchini

    Unawezaje kuitenga demokrasia na uwajibikaji? Ninavyoelewa mimi uwajibikaji ni kwa manufaa ya watu ambayo ndiyo maana ya demokrasia, upo?
  17. D

    Roho zinawauma CCM inavyozidi kujiimarisha kileleni

    Kweli nimemkubali yule muimbaji wa super virunga. "jua maisha ni mlima" yaani kauli za viongozi wa upinzani ndio leo hii zimekua mtaji wa kisiasa wa viongozi wa chama dume la mbegu. Tena viongozi wakuu na waandamizi.
  18. D

    Kifanyike Kitu Gani Kuzuia Utitiri wa Vyama Vya Siasa Nchini

    Kwa kuanzia tupunguze vyama visivyo na mbunge hata mmoja na sababu ni kuwa havina mbunge hata mmoja. Angalizo hapa si maanishi mbunge wa kuteuliwa, angalau kidogo wa viti maaluumu anaweza kuwa amefanya kazi kuupata ubunge wake.
  19. D

    Kifanyike Kitu Gani Kuzuia Utitiri wa Vyama Vya Siasa Nchini

    Mkuu lazima nikiri kuwa wakati natafakari na kuandika hii mada sikuwahi kufikiri akilini mwangu kuwa kenya ndio SI unit yetu.
  20. D

    Kifanyike Kitu Gani Kuzuia Utitiri wa Vyama Vya Siasa Nchini

    Rangi kuu za picha, kijani na njano unatupa ujumbe gani mkuu?
Back
Top Bottom