Kaka naona huelewi nini kinafanyika,nikuulize kwanza una ndugu mwasilika wa madawa?kama huna huwezi jua machungu yake,kudeal na mapapa wakubwa ni lazima jasho na damu,lets go makonda
Nyie ndo mliotufikisha hapa,huo ushauri wako ushachelewa sasa ni kula sahani moja na wahusika mpaka kieleweke miaka mingi mnazingua tu hakuna linalofanyika mwacheni makonda afanye kazi,huna cha kuchanga kaa pembeni mtachie hii vita
Binafsi nampongeza sana zitto kw1 h1tua hii,sio hatua ndogo tunahitaji viongozi kama wewe,,,what i know u wil b our president one day belive me,god bless u
Nyie watu hamna kzi za kufanya?tumechoka na hawa watu waa ardhi makonda wanyooshe,wanatia hasira tumeshadhurumiwa sana baada ya kuwatetea waliodhurumiwa mnatetea hao wezi ,ujinga sana huo mnaofanya ,inatia hasira sana hasa kwa sisi tuliodhurumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.