Sijui kama kuna muongozo sahihi, mimi niliifanya baada ya kuona gari inakuwa nzito ilikuwa ni baada ya kukaa nayo miaka mitano na kumwaga gearbox oil mara kadhaa, baada ya pale gari ilikuwa nyepesi sana, ukimwaga oil vila kawaida huwa kuna inayobaki kwenye sample so kama kuna uchafu bas unabaki...
Ipo ndani ya sample ya gear box, ibadili tu maana cjui kama una service history ya hiyo gari kama gharama itakushinda au haina physical demage huwa ina namna inaoshwa tu na petrol, kitendo cha kufungua gearbox oil sample ni moja ya service ya gearbox.
Hapa misugusugu karibu na kiwanda cha sabuni nice one zaid ya km 2 toka main road nilikuwa najenga kakibanda kangu kule nimepigwa stop kujenga tuliambiwa kuna barabara ya "mwendo kasi" itapita labda ndio hii, dah wanipe pesa zangu nikaangalie ustaarabu mwingine dah
Ndugu zangu nunueni hata pikipiki mkimbie hizo adha ndogondogo, nakumbuka mwaka 2010 nili faint pale tabata relini kwenye daladala ya kwenda segerea, mida ya jioni nimetoka mbezi, nmegonga ugali wa maana nafika stendi ya zamani ya ubungo, daladala chache watu wengi, nikakomaa nayo hivyohivyo...
+/- ila ukiwa na njaa hali inaweza kuwa mbaya zaidi mtu unakuwa na dalili ya hypoglycemia na hypotension yaan sukari na presha chini, wengi husweti sana, kupata uoni hafifu (bluired vision), kulegea nk, solution kubwa nunua baby walker yako iwe na a/c na wewe ndio uwe dereva, ukiwa una drive...
Wewe una motion sickness, cha msingi kabla ya safari njoo hospital tukuchome sindano ya metroclopamide pia tukupe vidonge vya kutumia kama safari yako ni zaidi ya masaa nane. Motion sickness ni vile reaction ya matumbo baada ya mtikisiko wengine huharisha pia
Nina tatizo kama lako, hii sio motion sickness kama mjumbe mmoja alivyosema hapo juu, hii hali hasa huchangiwa na uoga wa safari pia kuto kufanya safari mara kwa mara, solution ya kwanza uwe na usafiri wako mwenyewe yaani gari, ukishakuwa na gari jua utaliendesha daily safar fupi, za umbali wa...
Barabara ya makambako hadi songea iliwekwa lami miaka ya 1980 mpka leo sehemu chache sana ndio zimefanyiwa repair, asilimia kubwa bado ni ile ile lami ya mwingereza, kwangu mimi ile ilikuwa ndio lami kongwe zaidi
Vodacom wanakupa 8mb/s tena kwenye 4G?😳😳😳 Sasa kwenye 2.5G yaani E itakuwaje si 0mb/s.
Halotel napata hivi kwenye 3G na 4G, mara nyingi huwa siwashi kabisa 4G kwenye simu yangu, sababu speed ya 3G inanitosha kabisa, speed ya 4G inamaliza tu chaji! na 4G
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.