Wajameni hili ni jukwaa la ujasiriamali, mtu anapouliza au kutaka kufahamishwa jambo fulani ana maana yake. Sasa ukiona huna cha kusema afadhali kusoma na kujiondokea tu kuliko kuandika mambo yasiyoeleweka. Tunaulizia habari hizi na zile ili tufanye Ujasiriamali. Kuna watu wameeleza kuwa hakuna...
Nadhani kule Dar es Salaam Zoo kuku hao wapo, wanaitwa VINYOYA, ila wale jamaa hawawauzi bali ni wamewafuga kwa ajili ya kitoweo chao wenyewe. Na wwalisema waliletewa na watu wa mikoani (bila kuitaja).
Kwa wadau wote mliochangia mada yangu, kama mnavyoona hata mimi nimeonyesha mshangaowa kuwepo kwa kuku hao. kuku BUKINI na KUCHi wametajwa katika Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi ya mwaka 2011/2012 na sijawahi kuwa na mawasiliano na watu wa Wizara hiyo.
Pengine labda walimaanisha...
Habari wanajamvi
Katika pita pita zangu kwenye mitandao nimeona aina ya kuku ambayo sikupata kuisikia - BUKINI. Najua kuwa kuna BATA BUKINI kumbe sasa hata KUKU BUKINI wapo? Kwa wale wanaowafahamu kuku hao ningependa kujuzwa mambo yafuatayo:-
Je, wanasifa gani? Umbile lao, uzazi wao (utagaji...
Nimepata UJUMBE MURUA kuwa baadhi ya wanawake wanajichuklia kama wao wako sahihi kwa kila jambo na wanaume ndiyo wakosaji tu. Kwamba mke afanye visa halafu mume ajikaushe tu eti asiwe na wasi wasi. NAWE THANKS PIA KWA ELIMU YAKO
Mkuu umetoa ushauri mzuri sana maana wengine utadhani wana mioyo ya chuma au labda hawana kabisa yaani ni kama mawe. Ni muhimu kujiridhisha na mambo kama ni kweli au la kabla ya kuchukua uamuzi wowote. THANKS BWANA
Habari wanajamii
Mwenzenu naleta hoja hii. Inanihusu mimi mwenyewe na simzungumzii mtu mwingine kama ilinavyofanywa na wengine.
Nina mke na watoto, kwa muda mrefu tuliishi vizuri japo mikorogano midogo midogo haikukosa. Lakini mwaka huu mwenzangu kabadilika sana na nimeingiwa na hisia kuwa...
Uvivu huu utatumaliza walahi, mie niende kutanua miguu yangu kwa mtu kama vile najifungua aka? Halafu sehemu yenyewe ilivyo nyeti nikiambukizwa magonjwa kwa mikono na nyenzo zake je? Shauri yenu
Mwanaume siku zote hapendi kuoneka mwenye makosa au kuonekana yuko chini,hata kama kosa amefanya yeye hutaka kuligeuza na kuwa la mwanamke,lakini ,mengine huchagizwa zaidi na tabia ya mtu binafsi pamoja na mazingira aliyokulia nayo.
Wengine ni VICE VERSA, KINYUME CHAKE NDIYO HIVYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.