Mungu atunusuru! Inavyoonekana ni wazi pasi na shaka yeyote kuwa polisi walihusika kuua kwa mazingira yafuatayo, hawawezi kueleza kutueleza kuwa kiganja hicho kilikatwa ndipo wakapata taarifa kutoka kwa wasamaria wema! Ingekuwa hivyo kiganja hicho kisingekuwa bado kinavuja damu! Yaonekana wazi...
Nowdays mambo sio kama zamani ya kuomba anwani ya sanduku la posta! Just type jina la chuo kwenye search engine ya google then utapata kila kitu. Sio lazima kukariri web address.
Mimi naunga na Shimwemwe na FJM kwa asilimia mia moja. Serikali ilipofuta kodi ya kichwa ili-introduce swala la VAT. Kwa haraka haraka serikali kupitia VAT inapata kodi kubwa kuliko ya kichwa. Kama kodi zingekuwa zinasimamiwa ipasavyo serikali inapata pesa nyingi sana. Issue ni kwamba kila mtu...
Ki ukweli polisi tushawazoea. Hii kauli waliozoea kutumia ya kutii sheria bila shuruti wanafika mahali na kujisahau kuwa hata wakifanya tukio gani mwisho wa siku wa kulaumiwa ni raia!
Umeonae@Vicent. kuna ka uhuru fulani hivi wananchi wanamiss maanake hii haikubaliki wala kuingia masikioni mwa watu kuwa waliomtesa Dr wetu ni vibaka< hata mahakama haiwezi kuprove hilo.
Homosapien na wewe unajitahidi kuja na mawazo ya kale! watanzania wote wangekuwa kama wewe Tanzania isingekuwepo.
Yaani wewe unaangalia watanzania waliokufa wakati wa mgomo tu ila wanaokufa kutokana na ubovu wa huduma mbele ya madaktari huwaziii! hauna tofauti na wale wananchi wanaosema kwamba...
Haaaaahahaha, swala la kukataa moja kwa moja sikubaliani nalo Mapaoz. Marando sio kwamba mi mtu ambaye kabobea sana kwenya mambo ya IT< so you might find kwamba alikuwa an refer an application lakini kutokanana kutokuwa na uelewa sana wa haya mambo akasema ni kifaa! Naamini kabisa kwamba yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.