naambiwa hapa kuwa mtu mwenye lugha za kuudhi kama wewe pengine anasumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao kitaalam unaitwa BIPOLAR DISORDER' Nashauri umuone daktari haraka.
nimesoma gazeti moja pendwa sana katika jamii limeandika kuhusu baadhi ya waheshimiwa kuingia bungeni wakiwa wamelewa mihadarati ,gongo, sigara kubwa na mirungi( wasomali huipenda sana)
HEBU CHUNGUZENI PENGINE NI MMOJAWAPO WA WATUHUMIWA ,NA HII KAULI ALITOA AKIWA OUT OF SENSE
dada fina nakuamini sana kwa kuuliza maswali magumu bia woga,nakuomba muulize na haya
1: je kwa kumbukumbu za katika biashara zake amewahi kupata ajali za moto mara ngapi?
maana kumekuwa na mfulilizo ajali za moto katika maghala yake ya kuhifadhia bidhaa hali ambayo imekuwa ikihusishwa na...
zitto ana urafiki wa karibu sana na mhariri wa mwananchi DENIS MSAKI, na mara nyingi wameripotiwa na interijensia ya cdm wakikutana sinza ktk pub ya msaki iliyopo jirani na wanyama hotel.
Habari za leo wakuu,
nimepita pale mikocheni hospital opposite mchana huu , huwezi kuamini nimekuta shina la wakereketwa wa ccm lipo barabarani ndani ya mita moja kutoka ukingo wa barabata ya lami, kinyume na sheria ya barabara za manispaa na tanroad.
nikachoka zaidi baada ya kugundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.