!!!!!!!!!!!!!!! Tunashukuru sana wadawu kwa kutukumbusha matukio mbalimbali hasa kama vile picha za zamani kwa ufupi nimefurahi sana.Ushauri wangu ni kwamba endeleni hivyo hivyo kutukumbusha.!!!!!!!!!!!!!!
Nashukuru sana kwa elimu hii. Naomba nichangie hapa kidogo. Unajua asilimia kubwa ya watanzania hawana elimu na walio na elimu hawatoi elimu yao waliyopata kwa jamii kwa mfano somo kama hili wanaofaidika ni wachache tu (wasomi). Naomba tutumie fursa hii kama wasomi kuwapa/kupeleka elimu hii...
Kwanza naomba niwasalimu wote wana jamii forum pamoja na Doctor natumaini wote ni afya njema. Doctor ninatatizo la kuwasha mwili kila baada ya kuoga muwasho huo huchukua robo saa hadi nusu saa hivi. Nimejaribu kubadili sabuni na kuacha kutumia sabuni na kubadili kutumia maji ya baridi au ya...
Habari wanaJF wote nafikikiri nyote ni wazima.Je siku ya 24 katika mzunguko wa mwanamke(menstrual cycle) kuna uwezekano wa kushika mimba? Naomba maoni yenu wanaJF. Ahsanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.